Hizi nazo zithibitishwe?
HAbari kutoka kwa mtu wa karibu wa familia, ni kwamba Mama Maria Nyerere amefariki dunia.
Hizi ni habari za uzushi zimeshakanushwa na vyombo vya habari jioni hii
Kumbe afadhali bana aendelee kuwepo kuwepo.......
anajua yeye!
Mkuu Andrew Nyerere sisi Wandengereko umetuacha mbali sanaHabari ni za uongo. Lakini. I was just a hair's breath away from making the announcememt to the media kwamba. Mama. Maria. Nyerere amefariki.
Kufa ni faida.
Kama kuna aliyesambaza uvumi huu huku akijua sio kweli basi yamtokee kama yale yaliyomtokea aliyemuombea mzee wetu mwingine mauti!
Mkuu Andrew Nyerere sisi Wandengereko umetuacha mbali sana
Mh hili jina linaniondolea credibility ya taarifa zangu maana naona humu kila kitu kibaya Uzushi,mzushi ,wazushi basi tafrani tu