Hili ni lazima tulikemee kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu ama dini zetu,
Leo kumezushwa habari yakuwa Mama Maria Nyerere amefariki dunia, habari hii imezushwa na idara maalum nchini chini ya maelekezo ya ccm baada ya kikao cha jana usiku cha viongozi wa ccm na serikali kufuatia kubumburuka kwa mkakati wa kumuua Dr Slaa juzi usiku.
Hali ya ccm ni mbaya sana baada ya kubainika mpango huo, na njia pekee ilikuwa ni kuwaondoa watu kwenye habari hiyo kwakuzusha kuwa Mama Maria Nyerere amefariki.
Hii ni dhihaka kubwa kwa familia ya mama Maria Nyerere na heshima ya Mwalimu Nyerere kwaujumla, ifahamike kuwa leo mda huu kikao cha wafanyabiashara wakubwa na marafiki wa ccm wapo Butiama wakiendelea na kikao cha kumuunga mkono Makongoro Nyerere agombea urais katika kilekile kinachotajwa kuwa ccm hurithishana utawala (utawala wa kifalme), Tujiulize, dhihaka hii inania njema kwa Familia ya Mwalimu Nyerere na Ligancy yake?
Tupinge kwa nguvu zote, Mama Maria Nyerere ni alama ya utaifa na taifa letu. Ccm waendelee kusingiziana wenyewe kwa wenyewe hukohuko Lumumba.