Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

hii tabia ya kuzusha mambo sio sawa hata kidogo......................labda kama wanaficha kuandaa mazingira kwanza.
 
Asante Mungu maana mafisadi wangetumalizia kabisaaaaaaaaaaaaa!
Mama Maria remains the sole moral guardian angel for this bedeviled country.
 
Haya mambo ya kupeana taarifa za misiba kiana pasipo kumwandaa mtu kwanza watu wanatoa toa taarifa za misiba ovyo ovyo, tutakuja kuawana! Hasa huku kwenye mitandao. Zamani wengine wanajulishwa siku ya maziko.

Kwa hiyo wewe unataka iwe km zamani? wakati tayari umeshasema zamani,kumbuka kuwa zamani siyo km sasa,na zamani ilikuwa hivyo kwasababu mitandao haikuwepo,hivyo kwa kuwa mitandao ipo,basi zamani haiwezi kuwa km sasa;Zamani itabaki zamani na sasa itabaki sasa,kwanza inarahisisha ktk uwasilishaji wa taarifa,sasa wewe unalaumu tena! kweli watu hawana jema,hapo ni kujikaza kisabuni tu!.
 
Wote tumesikia hizi habari,na kikubwa wanachosema kuna sherehe za chief wa huko butiama so,nilazima sherehe zimalizike kwanza ndipo waweze kuzitangaza rasmi hizi habari
Mungu ibariki tanzania
 
kama ni uzushi toeni taarifa kamili. kama kuna taarifa za kuugua au pale alipo kwa sasa
 
Kweli watanzania tumepoteza kabisa dira ya maisha yetu. Hivi unawezaje kuandika ujinga kama huu ambao haukupatii faida yoyote bali kumchulia mama wa taifa letu. Acheni ujinga jamani, tufanye mambo yenye tija kwa nchi yetu
 
Nashukuru kwa imani yako Maria Nyerere;
hata BAOBAO namtakia mama wa taifa uzima wa milele.Someni
1WATHESALONIKE 5:1~8
 
Last edited by a moderator:
Dah Jaman Tusiwe Tunakurupuka tu kama walevi na kutoa taarifa zisizo rasmi.
 
Kama kuna aliyesambaza uvumi huu huku akijua sio kweli basi yamtokee kama yale yaliyomtokea aliyemuombea mzee wetu mwingine mauti!
 
Namkumbuka sana, Mama Maria Nyerere kwa kuwa muumini mmojawapo mwaminifu wa padri Nkwera, aliyetengwa na askofu Pengo !
 
Hili ni lazima tulikemee kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu ama dini zetu,

Leo kumezushwa habari yakuwa Mama Maria Nyerere amefariki dunia, habari hii imezushwa na idara maalum nchini chini ya maelekezo ya ccm baada ya kikao cha jana usiku cha viongozi wa ccm na serikali kufuatia kubumburuka kwa mkakati wa kumuua Dr Slaa juzi usiku.

Hali ya ccm ni mbaya sana baada ya kubainika mpango huo, na njia pekee ilikuwa ni kuwaondoa watu kwenye habari hiyo kwakuzusha kuwa Mama Maria Nyerere amefariki.

Hii ni dhihaka kubwa kwa familia ya mama Maria Nyerere na heshima ya Mwalimu Nyerere kwaujumla, ifahamike kuwa leo mda huu kikao cha wafanyabiashara wakubwa na marafiki wa ccm wapo Butiama wakiendelea na kikao cha kumuunga mkono Makongoro Nyerere agombea urais katika kilekile kinachotajwa kuwa ccm hurithishana utawala (utawala wa kifalme), Tujiulize, dhihaka hii inania njema kwa Familia ya Mwalimu Nyerere na Ligancy yake?

Tupinge kwa nguvu zote, Mama Maria Nyerere ni alama ya utaifa na taifa letu. Ccm waendelee kusingiziana wenyewe kwa wenyewe hukohuko Lumumba.
 
mods hebu futeni huu uzi mpaka tupate habari za uhakika . Hii haikubaliki hata kidogo

Huwezi ukafuta huu uzi wakati watu tunategemea taarifa kutoka jf.
Uzi umekanusha taarifa, Ni jambo jema, kuliko kila mtu angeishia kuwa hewani bila uhakika wa taarifa.
 
Back
Top Bottom