Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

Taarifa Kuhusu Mama Maria Nyerere si za Kweli

Mama Maria Nyerere afariki dunia ghafla sasa hivi.Bado naendellea kufuatilia ukweli wa habari hii.
Source mdogo wangu anaeishi Butiama.
 
Ni kweli hatunaye tena?
 

Attachments

  • 1425901709374.jpg
    1425901709374.jpg
    42.1 KB · Views: 1,278
Na mie nmeskia hivo sielewi..kma. ni kweli ccm wameusika..
 
...... MARRY NYERERE AMEKANUSHA qwiqwiqwiiii sharp minded .
 
OHHH HUU MWAKA MGUMU SAN KWA KWELI, .... R.I P MAZA.. duuh alikuwa anumwa mbona gafla hivi???
 
Haya mambo ya kupeana taarifa za misiba kiana pasipo kumwandaa mtu kwanza watu wanatoa toa taarifa za misiba ovyo ovyo, tutakuja kuawana! Hasa huku kwenye mitandao. Zamani wengine wanajulishwa siku ya maziko.
Kuna watu wajinga sana
 
Katika mkusanyiko/kikao/kumbukumbu ya Wanzagi butiama ilitangazwa hivyo muda wa saa sita na ndugu na watoto wakaanza kulia ila baadae wakatangaza kuwa si kweli.
 
....hizi mbio za uraisi zinaharibu akili za wengi sana na has a wasiojua kuzitumia....
 
Back
Top Bottom