Zero Brainers
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 784
- 1,471
- Thread starter
- #21
We ulishaona mbali mkuu.Pole sana mkuu
Kuna kipindi nilikuwa na changamoto jamaa yangu akaniambia kuna makampuni ya mikopo mitandaoni..... Nilimwambia siwezi
Huku riba ni kubwa alafu unadhalilika mno kama mimi hapa