Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Mashoga hufurika sana kumbi za taarabu na mashairi hayo huhamasisha ushoga.
Mashairi haya kwa miaka mingi hutungwa na wanaume japo mengine hupewa wanawake kuimba.
Walitokea akina Farouk wanaume waliojipamba na kunengua majukwaani kama wanawake wakiusifu ushoga. Wengine wakaimba wakaficha ushoga kwenye nyimbo kama Nyama ya Bata tamu
Waimbaji Salha Abdallah na Amosi au anti Asu wamesikika wakinena kuachana na ushoga, wamekiri walikuwepo kwenye ushoga. Juma Balo wa Mombasa usiseme ndio alikuwa ....... Mzee Yosefu na CD ....
Mashairi haya kwa miaka mingi hutungwa na wanaume japo mengine hupewa wanawake kuimba.
Walitokea akina Farouk wanaume waliojipamba na kunengua majukwaani kama wanawake wakiusifu ushoga. Wengine wakaimba wakaficha ushoga kwenye nyimbo kama Nyama ya Bata tamu
Waimbaji Salha Abdallah na Amosi au anti Asu wamesikika wakinena kuachana na ushoga, wamekiri walikuwepo kwenye ushoga. Juma Balo wa Mombasa usiseme ndio alikuwa ....... Mzee Yosefu na CD ....