Gospel KTV
JF-Expert Member
- Aug 23, 2025
- 209
- 354
Elewa vizuriMbona unapingana na neno Hilo la mithali 31?
Neno linasema mpe pombe huyo mwenye uchungu nafsini. Huelewi nini au mstari umekosewa?
Papuchi za siku hizi zenye magonjwa unazishughulikia vipi kwa tahadhali?Hello,pombe ni hatari ila ndo hivyo ipo na itaendelea kuwepo!Haiepukiki kamwe!Tumia Kwa Kwa tahadhari!Ni kama papuchi tu za sku hizi,Zina magonjwa,ila haziepukiki Tumia tu Kwa tahadhari
Punguza ushauri kwenye hela za watu...Dawa ni kumrudia Yesu, akutue mzigo wako. Acha pombe haitoi machungu.
Aliyekuambia hizo hela ni zako ni nani, hata picha yako hazina zinakuwaje za kwako.Punguza ushauri kwenye hela za watu...
Pimeni,ukishindwa vaa kondomu!Aliyekuambia hizo hela ni zako ni nani, hata picha yako hazina zinakuwaje za kwako.
Hayo yote ya nini, tulia na mwenzi wakoPimeni,ukishindwa vaa kondomu!
Yesu hakujua hilo? Yohana 2:1–11Dawa ni kumrudia Yesu, akutue mzigo wako. Acha pombe haitoi machungu.
Anaigiza huyo.Amepata hadi nguvu ya kuvaa boksa?
Mtachubuka magoti sasa!kwa kweli sisi zetu ni dua tu
Unapingana na maandikoDawa ni kumrudia Yesu, akutue mzigo wako. Acha pombe haitoi machungu.