Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.
Naunga mkono, miguu na kichwa.
kwa kuwa wadau wengi wameunga mkono idea hii mimi nitaifikisha kwa wahusika uwezo ninao na nia ninayo
Hizi t-shirts ziuzwe kwenye kampeni mbali mbali za kichama..kama yale maandamano ya kupinga kupanda umeme, kwenye mikutano ya hadhara ya wabunge nchi nzima na kwenye hafla au mkusanyiko wowote utakaoandaliwa na chadema.
Pia si mbaya kukawepo pia na picha za wabunge wa maeneo ya majimbo tuliyochukua,especially kama kuna mkutano wa mbunge..zinaweza kuuzwa kwa pamoja
angalizo:
Kuwepo na tendering ya uhakika na kupata milki ya kutengeneza hizo tshirts ili mapato yote yatakayopatikana yaelekee kwenye chama ili kukijenga zaidi..
I think we need to think a bit harder on this.
A t-shirt with Dr's picture and 64% on it?
I am afraid you will not find a printer to do it in Tanzania unless he is a "Sabodo" because they will slap him with huge tax liability so that he/she would be bankrupted,
If you do it outside the country, Customs would impound the goods as being sedicious in nature.
Thus, in my view such a t-shirt whilst would be a very good political weapon, it would not see the light of the day!
I submit.
Jambo la mbolea sana hilo nilipoona hii thread nimeifungua kwa spidi nikijua unanitaarifu zinapatikana mahali fulani. Anywa nadhan tangu ujiunge na JF leo ndio umetoa wazo la maana zaidi. Big up sana. Mimi ntahitaji tshir 8 moja ya kwangu nyingine za wadogo za na za wazee maana familia nzima tulipigia chadema. Ila nashauri ziwe zinye kiwango cha kutosha sio kama zile za CCM unavaa siku mbili zinachanika.kitu kingine nashauri watengeneze tshirt za round na zile zenye kora ila kuwapa watu uhuru wa kuchagua..pia wasisahau kuweka rangi ya bendera ya chadema na double fingers....Peopleeeeee's......powerrrr..[/QUO TE]
mtanunua kwa kiasi gani tufanye order ya printing,nimeipenda hii naweza simamia.