Ili kujibu mapigo na kunogesha siasa za nchi yetu, basi CHADEMA wamrudishe Dr Slaa kwenye ukatibu Mkuu.
Hatua hii itafanya makada waliohama hama kurejea kwenye vyama vyao then tutaanzia siasa tulipoishia 2015.
Kama CCM wamemwamini Makonda kuwa Mwenezi wao CHADEMA wanashindwa nini kumwamini tena Dr Slaa!?
Hatua hii itafanya makada waliohama hama kurejea kwenye vyama vyao then tutaanzia siasa tulipoishia 2015.
Kama CCM wamemwamini Makonda kuwa Mwenezi wao CHADEMA wanashindwa nini kumwamini tena Dr Slaa!?