Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 208
- Thread starter
- #61
Thinking BIG! Thank you Supervisor
Thanks Mo-TOWN tuko pamoja sana. Nataka nisimamie jambo hili as soon as pcb
Thinking BIG! Thank you Supervisor
watakifuatilia kiwanda au printer aliyezitengeneza na kumtafutia visa na hatimaye kumfilisi.
No no! What I said in ma thread is that, t-shirt should be printed with Dr Slaa's picture alongside with some words either at da back or onfront of da t-shirt. The 64% i mentioned means if u buy a t-shirt and u wear it will mean u was da one how voted 2 Dr and u contributed on his landside victory of about 64%
Vipi kwa wale ambao hawakumpigia kura Dr Slaa, does it mean hawana haki za kununua, vipi kwa wale ambao hawakuwa na haki ya kushiriki uchaguzi, naunga mkono wazo lakini napinga statement hii, ina ubaguzi wa hali ya juu..
kwa nini tusiorganise na kuzichapisha sisi weneyewe?
GrEatThinkers,
Bado mimi nasema mradi usiwe wa Chama bali wa Kundi lakini ni kwa ajili ya kutunisha mfuko kwa ajili ya ajili ya chama chetu.
Itakuwa ni tatizo kama tutatumia mfuko wa chama, Ruzuku isifanye mambo kama haya kama walivyo wale mafisadi.
Tunajenga chama chetu, Umma ni muhimu uhusike moja kwa moja na ujiskie kuwa unahusika na mipango na mikakati ya kuendeleza CDM.
Supervisor ametoa wazo zuuuri sana,
utekelezaji wake ni lazima uwe mzuri.
Ngoja nami nitoe Thread nyingine kuunga mkono hili suala la hili.
No no! What I said in ma thread is that, t-shirt should be printed with Dr Slaa's picture alongside with some words either at da back or onfront of da t-shirt. The 64% i mentioned means if u buy a t-shirt and u wear it will mean u was da one how voted 2 Dr and u contributed on his landside victory of about 64%
Nawashauri CDM wachapishe t-shirt zenye picha ya Dr Slaa na nembo ya flag ya Tz then ziuzwe na zivaliwe na wafuasi wa CDM ambao ni 64% kuonesha kuwa walimchagua.