ROFACOL
Member
- Jul 29, 2016
- 62
- 33
Mtoa post hajitambui bwana muacheni kasahau ziwa Nyasa Lipo mbeya na lina beach nyingi hadi banda wa Malawi alizitamani anazitaka ziwe zake. Alafu msameheni amesahau kuwa huku kwetu hatutumiagi swimming pool kama huko kwao sisi huku tuna natural water bodies nyingi za kuogelea, au hajui kuwa uwepo wa swimming pools nyingi mahali ni uthibitisho tosha kuwa mnaigiza kama mpo ziwani au baharini au mtoni? Huku hazipo nyingi kama huko kwenu maana nyie washamba wa ziwa na bahari