Swimming Pool ya kwanza kujengwa Mbeya.....

Swimming Pool ya kwanza kujengwa Mbeya.....

Bwana mdogo kabla hujapost chochote jaribu kufanya tathmni ili usionekane mjinga.

Hyo maada ungezungumzia mikoa kama tabora Dodoma n.k

Unapozungumzia mbeya ujue unazungumzia mkoa ambao ni tegemeo la taifa kwa kila kitu..
Kwa machache tu nakumegea kipande hikiView attachment 452018View attachment 452019View attachment 452020View attachment 452021View attachment 452022
Hzo picha zimechukuliwa mbeya . sehem moja inaitwa matema beach tena kijijin bado nakujia na za mjini
Hahahaa warete warete hapana chezea mnyakyusa wewe.
 
Hilo swimming pool... mbona njemba kibao demu wachaaacheee wa kuhesabu?!... Raha ya swimming pool lijae bikini!!...
 
Haha!, tumepumzika kama kidogo atoto. Zamu ya kina HS sasa. Lakini wenzetu wana faidi zaidi, kila kitu cha kwanza kwao lazima kitangazwe, mara lift, mara kimondo, sisi ni ma pose tu ya picha. 😀

Mapozi na ushamba
 
Bwana mdogo kabla hujapost chochote jaribu kufanya tathmni ili usionekane mjinga.

Hyo maada ungezungumzia mikoa kama tabora Dodoma n.k

Unapozungumzia mbeya ujue unazungumzia mkoa ambao ni tegemeo la taifa kwa kila kitu..
Kwa machache tu nakumegea kipande hikiView attachment 452018View attachment 452019View attachment 452020View attachment 452021View attachment 452022
Hzo picha zimechukuliwa mbeya . sehem moja inaitwa matema beach tena kijijin bado nakujia na za mjini


This's niice!, atoto itabidi tuombe mwaliko Heaven Sent atupeleke huku.
 
Nadhani hii ni nchi fulani huko Afrika ya magharibi.Ingekuwa ni mbeya hapo ningewaona marafiki zangu akina Mwankenja,Mwakanosya,Mwantulo,Mwamaja,Mwaikambo,Mwakipesile,Mwaisabula na Mwaipaja.
 
Bwana mdogo kabla hujapost chochote jaribu kufanya tathmni ili usionekane mjinga.

Hyo maada ungezungumzia mikoa kama tabora Dodoma n.k

Unapozungumzia mbeya ujue unazungumzia mkoa ambao ni tegemeo la taifa kwa kila kitu..
Kwa machache tu nakumegea kipande hikiView attachment 452018View attachment 452019View attachment 452020View attachment 452021View attachment 452022
Hzo picha zimechukuliwa mbeya . sehem moja inaitwa matema beach tena kijijin bado nakujia na za mjini
Kumbe Kuna beach nzuri hivyo jmn wacha nifunge safari ya huko
 
Hahahha kama vile namwona Mwakabombadier kule Mbele anavyokata mawimbi kwa kuogelea
 
Back
Top Bottom