Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Ishu ya loliondo serikali imeifumbia macho acha wageni wawatetee wale wananchi masikini wasio na hatia. Wanawake walibakwa pale , wanaume waliuawa bila kosa , watoto walilawitiwa unataka kumpinga huyu mama kwa kuwatetea watu wako? Kama serikali zote nne zilizopita zilifumba macho acha wazungu wapige kelele labda dunia itasikia