Sweden inaichokoza Tanzania

Sweden inaichokoza Tanzania

1470042827624.jpg
 
Watz bana wanadhani serikali yao inaweza kumshughulikia kila mtu. FYI Swedeni sio Chadema, Cuf au Nccr. Hiyo ni Anga nyingine kabisa hao viongozi wenu huwa wanaenda huko Swedeni kuwalamba makalio hao wa Swedeni ili mpate msaada na mishahara.

Hajui kitu huyu mbulula wa Lumumba.Sweden ni kitu kingine kabisa,wenzetu wanaunda fighter jet Saab JAS 39 Gripen four generation fighter jet ambayo wanauza South Africa,Czech,Hungary,UK,Thailand & Sweden airforce potential customers Brazil,Colombia,Finland.Croatia....Mradi wa kutengeneza hii ndege mwaka 2016 ni u$ 13.54 billion jiulize nchi yako bajeti yake yote ni kiasi gani ?.

300px-Saab-JAS-39_at_ILA_2010_05.jpg
 
Acha upuuzi wewe, kwanza Mimi siyo Lumumba, mimi na ccm ni maji na mafuta, pili, ktk suala la taifa hakuna upuuzi unaosema hapa eti diplomatic approach Kwa mtu yeyote anayejaribu kugusa taifa letu, hata angekuwa mmarekani angekamatwa tu, utajiri na nguvu ya jeshi haviwiani kabisa ktk kumwajibisha mhalifu.
Lowassa fisadi mmemfikisha wapi?
 
Hivi huyo mama si anataka justice juu ya ardhi ya wamasai Loliondo ambayo hawa jamaa wa Oman (OBC) na kina Thomson Safaris wa Marekani wanataka kuichukua ?? Ujasusi wa huyo mama ni upi ??
 
Back
Top Bottom