Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,534
- 2,699
Wasalaam, wote tumeshuhudia ziara za makonda akizunguka nchi zima na kutoa maagizo yasiotekelezeka ambayo kimsingi maagizo yalipaswa kutolewa na rais au waziri mkuu.
Swali langu ni kwamba je bajeti ya pesa anazotumia bwana huyu ni kodi za watanzania au ni pesa za ccm? maana kama CCM waliweza kuchukua viwanja vya umma vya michezo na kujimilikisha pasipo huruma watashindwaje kutumia pesa za umma kwa kurubuni wananchi.
Swali langu ni kwamba je bajeti ya pesa anazotumia bwana huyu ni kodi za watanzania au ni pesa za ccm? maana kama CCM waliweza kuchukua viwanja vya umma vya michezo na kujimilikisha pasipo huruma watashindwaje kutumia pesa za umma kwa kurubuni wananchi.