Swali: Mliofanikiwa kutumia mifuko mipya, inafaa kwa kubebea mboga yenye majimaji?(nyama au samaki) au unga wa kula?

Kuna mifuko ya nylon ambayo ina kidhi vigezo na masharti ya kisheria na siyo harmful kwa mazingira, itazalishwa mingi kwa sasa
 
Siku zote mabadiliko hayapokelewi positively, ndio maana hata kukubali kuwa bila ccm inawezekana watu wanaona sio kweli.
 
Haya ni mawazo yangu tu. Isije ikawa inatengenezwa kiki special for jiwe, baada ya watu kunyanyasika kwa kufungwa, faini, vipigo vya hapa na pale basi mpenda sifa jiwe ajitokeza na kuondoa marufuku hiyo na kubeba kura za uchaguzi ujao 2020.
 
Unanaje ule nfuko ukiubebea nyama ama samaki?
Beba sufuria mkuu ukienda kuchukua nyama
....

By the way (jokes aside) nyama au samaki zitawekwa kwenye karatasi ngumu then wewe unatia kwa mfuko yako..... Au watakua wanaweka nyama mbichi kwenye foil paper
 
Wale wasafiri wa route ya njombe songea hadi songea masasi wajiandae tu kutapikiwa kwasababu hakuna namna
Ipo mifuko Mbadala Ambayo ni ya paper na ndan yake inatengenezwa na plastics nyepes. Wale wanaosafir kwenda Zanzibar kwa bot za azam wanajuwa
 
Mkuu kabla ya mwaka 1990 ulikuwa unatambaa?
Masoko yalikuwepo na maisha yalikuwepo bila ya 'rambo' .Tulitumia mifuko ya khaki.
Pia kwabla 1990 Smartphone hazikuwepo, je ndio imaanishe unaweza kuishi tu bila smart kwasababu hiyo.
 
Moja ya point kubwa sana kwenye Uzi huu, pia ni fursa.
 
Pia kwabla 1990 Smartphone hazikuwepo, je ndio imaanishe unaweza kuishi tu bila smart kwasababu hiyo.
Mkuu ukipoteza hivyo vitendea kazi vilivyobuniwa kurahisisha maisha ya mwanadamu unaweza kuishi bila shaka. Kama ni mawasiliano utatembea kwa miguu kupeleka habari.
 
Mkuu ukipoteza hivyo vitendea kazi vilivyobuniwa kurahisisha maisha ya mwanadamu unaweza kuishi bila shaka. Kama ni mawasiliano utatembea kwa miguu kupeleka habari.
Nawaajiri watakuja kwako kukupa habari za ajira | unapozungumzia mawasiliano ni broad area don't think small.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…