iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Binafsi sijawahi kutembelea hifadhi za wanyama katika mbuga zetu.
Lakini kuna swali linanisumbua,nimesikia kuna kaburi la mnyama linatakiwa lionyeshwe,nawauliza wazoefu wa masuala ya mbuga za wanyama kama kuna utaratibu wa kutenga eneo la makaburi hifadhini kwa ajili ya wanyama waliokufa kama binadamu tunavyotengewa maeneo,mfano makaburi ya kinondoni,na anapozikwa huandikwa RIP fulani
Athante
Lakini kuna swali linanisumbua,nimesikia kuna kaburi la mnyama linatakiwa lionyeshwe,nawauliza wazoefu wa masuala ya mbuga za wanyama kama kuna utaratibu wa kutenga eneo la makaburi hifadhini kwa ajili ya wanyama waliokufa kama binadamu tunavyotengewa maeneo,mfano makaburi ya kinondoni,na anapozikwa huandikwa RIP fulani
Athante