KIPINDUPINDU-Comment yko sijaelewa kunywa kwa kunyonya na kwa ku kiss ndio kunakuwaje?Hapo umeniacha ila kuhusu harufu nimekupata sana!!!nadhani ukishafika huko kwenye 4,5,au 6 hata gundi utaiona kama supu!!!ila sitaki kufika huko wengine vichwa vya panzi mbili ,tatu hoi..!!!