Niongezee: uzuri elimu ninayo,siku akipata matatizo ntatafta kazi,..so hyo free lunch ya mume nakuwa full time student ,masters,ma'cpa,cfa nk....#secrectly praying Mungu anipe huyo mume,niwe napiga vacation tuu,ila the kuumwa part naogopaa..
Mume wa hivyo cjui kama atakubali utoe mguu apo ndani ata sokoni hatataka uende.Mume wa hivyo ni mzigo sana labda anikabizi atm na pasword nahata akikuta nimetoa zooote asiulize maana itakua shda