Unashangaa nn tena mke mwenza?
Hpo kwenye Mithali pameandikwaje??
Hebu bashiri ni nini kwanza
Ukikosea nitakusahihisha
Are you sure?
Ntakuelewa sana mke wangu.
Ndio hivyo mkuu
Umeshaanza kujionea sio?
Una fikiria kwa namna ya ajabu sana
Nazidi kukushangaa .........!!!!!!!!!!!!
Kudadadeki ....Its your heart. Because I know am the one who rules.
What??Yes am sure. Plus men are assholes,
Why this assuming?he could fall into the arms of another.
Do you think money is the only thing women need from men?Pride wont let me take him back so let me earn my own cents, for a rainy day.
Umejibu vyema sanaKwa kweli mimi ningefurahi sana kuambiwa hivyo kwa sababu ingemaanisha kuwa napata muda zaidi wa kuhudumia familia kama Mama.
Kitu pekee ambacho kingenisumbua ni "Hofu ya kesho"!
Naomba ujue kuanzia sasa kuwa hufai kuitwa mama wala mke wa yoyote na unaiaibisha hiyo jinsia yako!![/QUOT
Kumbe we EIYER NI MUHUNI?
I didn't say that eitherTS OBVIOUS,HATUWEZI FANANA MAWAZO,
I knowht tuwe mapacha,..
Huyo mke wa Bill Gates akijinyea je?mke wa Bill Gates anafanya kazi,sembuse miyee...
Unajua kitu kinachoitwa hitaji?kw jeuri ipi ya fwedha ulonayoo...
Kauli hizi nikizisikia kwa mwanamke hata kama kesho nilikua namuoa naachana ht km unayo kwani mi makochi nishinde ndanii??!
Anayamudu yote hayo ........!!!!!
hapa hapa hadharani mkuu,
hapa katika inakuwepo hiyo sentensi (Mwisho wa sentensi unaweka hivi)[/QUOTE.] hapa...... ndo unaandika unachotaka kukijibu baadaya kuweka hizo alama kwenye sentesi ya muhusika.
Mfano
(Hapa hapa hadharani mkuu[/QUOTE.] hadharani maana yake nini )
Hiyo ya katika ni sentensi yako.
Hiyo ya mbele baada ya quote ndo jibu langu.
NB
Hakikisha neno QUOTE linakuwa kwa herufi kubwa
Huo mfano wa mwisho nimeweka ( hiyo alama ili isije ikajikoti ukashindwa kunielewa ila haihusiki
Kinacho husika ni hizi[ ] tu
Kama utakuwa umelielewa jaribu kwa kuniquote
Na kama haujanielewa niambie ni wapi?
Kuna alama nimeona hazijatokea baada ya kupost
Iko hiviKoute ya kwanza lazima iwe na alama ya =
baada ya kuandika neno QUOTE= Kisha ndo unaweka hizi[ ]