Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,331
- 4,956
Eiyer nimeshaiendea! kaiongezea na chupa nyingine hivyo upitie pale ukalipe.Ni makosa makubwa kufanya jambo kwa sababu mtu alikufanyia jambo fulani
Huo ni utumwa
Bado hairidhishi
Kungekuwa kumetokea?
Kwanini unataka kufanya kazi?
Habari ya jioni ni njema tu
Shemeji hajambo?
Ukimuona Paloma mwambie ile chibuku yake aliyoisahau kwa mama muuza juzi akaichukue ....lol!!
mie nsiopenda kufanya kazi...........ningefurahijeeee! ila kuna vitu ningemshauri avifanye ili in case anatangulia mbele ya haki vingebaki kuwa vinaniingizia kipato. si ndo maana kuna sehemu ya kujaza beneficiaries details!
ila mhh nadhani ningeanza kufanya kamradi........huku nambembeleza kwa maneno fln hiv!!!!
Last edited by a moderator: