shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Unayajua ya baadae?
Huo upande uloamkia haufai kabisa nimesoma comment zako zote hope ua not that negative kw mwanamke kutokufanya kazi kisa anapewa kila kitu
????????????
Unayajua ya baadae?
ahahahahhaha mi unafkir napenda kufanya kazi!
akaunti yangu iwe na shekeli za kutosha!
nikitaka tu kiasi chochote nachomoa tu!sio ile ya nna shda na kitu flani... subiri nikirudi!ah hiyo staki!
hehehhheheh najiklia t home!
nipake hinna na nivae lesswig zangu mie!
mifolen alfajir nataka sasa?
Watakuja me nikudume siwezi kujibu ngoja nimwite mamsapu aje cc miss chagga
Umetoa wapi hii tafsiri ya mwanamke kujishughulisha??
Ati na we unataka?Kasema unifundishe badala yake
huishiwagi maswali wewe Baba Paroko
Ati na we unataka?
kidume cha mbegu wewe,,, hela mpenzi tafuta hela
nimekumiss sana sis.. i think something has binded me into you.
goodafternoon.
Umeona eh
Ndio,nataka
hahahaaa!!! mambo vipi mkuu? imebidi kwanza nitabasam, mana jana nilibambika sana nilipojaribu kufanya lile zoezi.