Swali kwa wanawake wote hapa...

Swali kwa wanawake wote hapa...

Ningemuomba aniruhusu nitafte kazi kwa sababu nimepona na uwezo Wa Ku work ninao. Sababu kubwa ni kwamba wakati ninaumwa yeye aliweza kunipa support kwa vile alikuwa ana kazi au biashara au chochote cha kumuingizia kipato. What if someday yeye augue for a year kama Mimi? How will I support him wakati sina kazi wala any source of income?
Una uhakika kama ataugua?
Una uhakika hautaugua tena?

Ungejua unakufa siku mbiuli baada ya siku hiyo
Ungetafuta kazi?
 
mmh si kweli mbali na kila kitu anachonifanyia lazma niwe na pexa yangu hzi pesa za kutoka mifukon mwa watu mmh hatari tupu

Kwanini unasema lazima?
Kwanini ni lazima?

Kwanini hela zake ziwe hatari unapokuwa mzima na isiwe hatari wakati hujiwezi?
Kwanini unakuwa na wasiwasi kiasi hiki?
 
Hata wa kwako ni mfano pia na hakuna ushahidi kuwa kwasababu wewe uliugua na mimi nitaugua!

Hata kama haihitajiki??

Kwasasa unaweza ukahisi hakihitajiki..ila kwa baadae kinaweza kuwa msaada mkubwa sana..
 
Haya twende kazi
Unafanya hizi
Kila sentensi unayotaka kuquote mwanzo unaweka hivi
hapa katika inakuwepo hiyo sentensi (Mwisho wa sentensi unaweka hivi)[/QUOTE.] hapa...... ndo unaandika unachotaka kukijibu baadaya kuweka hizo alama kwenye sentesi ya muhusika.

Mfano
(
Hapa hapa hadharani mkuu[/QUOTE.] hadharani maana yake nini )
Hiyo ya katika ni sentensi yako.
Hiyo ya mbele baada ya quote ndo jibu langu.

NB
Hakikisha neno QUOTE linakuwa kwa herufi kubwa
Huo mfano wa mwisho nimeweka ( hiyo alama ili isije ikajikoti ukashindwa kunielewa ila haihusiki
Kinacho husika ni hizi[ ] tu
Kama utakuwa umelielewa jaribu kwa kuniquote
Na kama haujanielewa niambie ni wapi?[/QUOTE]

AHSANTE MKUU!

[/QUOTE]Kuna alama nimeona hazijatokea baada ya kupost[/QUOTE]
Again thanks
[/QUOTE]Iko hivi
Koute ya kwanza lazima iwe na alama ya =
umeeleweka mkuu..
baada ya kuandika neno QUOTE= Kisha ndo unaweka hizi[ ][/QUOTE]
 
Aisee mi ningembembeleza kila kukicha yaani kila mazungumzo lazma ningechomekea swala la kazi angejua kuwa sina raha ningekuwa na nsimamo sibadiliki.
Hata kama unapata kila kitu kukaa ndani kunachosha bwana
 
Na kama haujanielewa niambie ni wapi?

AHSANTE MKUU!

[/QUOTE]Kuna alama nimeona hazijatokea baada ya kupost[/QUOTE]
Again thanks
[/QUOTE]Iko hivi
umeeleweka mkuu..
baada ya kuandika neno QUOTE= Kisha ndo unaweka hizi[ ][/QUOTE][/QUOTE]

Dah..! Pole mkuu nadhani uta kuwa hauja nielewa ila utanielewa tu naomba kesho tulifanyie kazi hili..!
 
I didn't say that either

I know

Huyo mke wa Bill Gates akijinyea je?
Nawe utajinyea?

Unajua kitu kinachoitwa hitaji?

Kauli hizi nikizisikia kwa mwanamke hata kama kesho nilikua namuoa naacha

Siachi kumuoa kwa sababu anataka kufanya kazi
Naacha kwasababu hii aina ya kufikiri ni ya ajabu sana
Haifai kabisa!!

hahhahaha,unanifurahisha sn mkuu,do u think in REAL LIFE,NTAONGEA HAYAA??ili nikose ndoa??wl give u the picture u want to see..FAKE...cz makavu live (my real thoughts) u can't handle it,tena yanii ukiniona huweziii kudhaniii ,..kuoa mambo mengi ujue,ha ha
 
Umejibu vyema sana

Lakini hapo kwenye hofu ya kesho ndipo penye tatizo

Ukiwa na kazi kesho haikusumbui??
Naelewa hata nikiwa na kazi huenda kesho ikanisumbua au ikatusumbua. Lakini hiyo haimaanishi kwamba tukae tu tuingoje kesho, tunajaribu kufanya kila lililo ndani ya uwezo wetu kujiandaa ili kesho ikija kivingine ni/tuweze kuikabili. Yapo mambo mengi sana hatuyajui kuhusu kesho. Ni vema kujiandaa.
 
Back
Top Bottom