Swali kwa wanawake wote hapa...

Swali kwa wanawake wote hapa...

Utatafuta kazi kwasababu ya kuwa bored?
Hiyo ni sababu tosha ya kutafuta kazi??

yahh,coz hela ndogondogo si unapewaa,..and for the sake of kutumia elimu yangu na kukutana na watu,au hzo kwenye miradi yake nisimamie mimi...
Unafkr kukaa home all day all year ni kazi rahisi?
 
nimejitahd kujibu vzur mtumish pia nahitaji kufanya kaz niweze kusolvdm matatzo yatakayoweza kutokea nyumban kwe2 pia hvyo ni muhmu kujishughulsha
 
yahh,coz hela ndogondogo si unapewaa,..and for the sake of kutumia elimu yangu na kukutana na watu,au hzo kwenye miradi yake nisimamie mimi...
Unafkr kukaa home all day all year ni kazi rahisi?

Kigumu ni kipi kukaa nyumbani??
 
Kwa hiyo Eiyer huu mnakasha unawahusu zaidi wanawake ngoja sie tupige chabo
 
Last edited by a moderator:
Niongezee: uzuri elimu ninayo,siku akipata matatizo ntatafta kazi,..so hyo free lunch ya mume nakuwa full time student ,masters,ma'cpa,cfa nk....#secrectly praying Mungu anipe huyo mume,niwe napiga vacation tuu,ila the kuumwa part naogopaa..

I like your idea
 
Uliokufanya ukasema uliyosema
Una matatizo wewe yani ni wazi umesoma nilicho kiandika lakini haujaelewa nimeeleza kilicho mfanya jamaa amkatalie kufanya kazi mkewe au we ulitaka maelezo ya aina gani iwe rahisi kwako kuelewa?
Wewe ni jini?
Umewezaje kukijua kilichoko mawazoni mwangu?
Jini ni kitu gani mpaka unakitukuza na kukifanya kionekane kujua mawazo ya kile mtu anachokiwaza?

Mambo gani hayafanyiki?
Nimekisoma lakini hueleweki
Kuto kuelewa kwako sio tatizo langu ndo ujiulize kwanini unashindwa kuelewa vitu vidogo kama hiyo?
Ukizidiwa sana uliulize nikueleweshe make kuuliza sio ujinga
Ujinga ni kusoma kitu unashindwa kukielewa ukakaa kimya!

Nani amesema kuwa hadi uambiwe na mtu?
Ulimanisha nini katika swali lako kutumia (nani)
au nani we unaitumia kwa vitu kama vipi?
Kuna sample gani ya mtu mmoja?
We unadhani sample ni mpaka wawe watu wangapi au lugha ni ngumu?
Angalia usije uka assume kuwa mimi ni shemeji yako
Kuassume sio tatizo ila kuwa shemeji ndo kazi!
We masai leo umezidisha Kiloriti nini?
Kiloriti inahusiana nini na maelezo yangu?
 
mi kwa upande wangu ningeomba hekima kwa roho mtakatifu anipe lugha ya upole,hekima na maarifa ya jinsi ya kuzungumza na mume wangu najua atanielewa.
 
nimejitahd kujibu vzur mtumish pia nahitaji kufanya kaz niweze kusolvdm matatzo yatakayoweza kutokea nyumban kwe2 pia hvyo ni muhmu kujishughulsha

Anayamudu yote hayo ........!!!!!
 
Uyu jamaa hafai, tunafanya kazi sio kwa sababu tunamahitaji. Ila tunafanya kazi kwa sababu mbalimbali , moja ni kwa sababu tunaujuzi ambao unaweza kufanya kitu ktk jamii. Na tunajisikia vizuri pale tunapo ona mchango wetu unaheshimika ktk jamii.
 
Kigumu ni kipi kukaa nyumbani??

kaa mwaka mzima hvi bila kufanya cha maana,ht km hela unapewa af utaniambia,ndo mana even the richest men n women in the world wanaenda kazini na wanafanya vitu vingine,for passion na purpose in life,money i s not everythng,kukaa hom sikai,bora nisafiri,
 
mi kwa upande wangu ningeomba hekima kwa roho mtakatifu anipe lugha ya upole,hekima na maarifa ya jinsi ya kuzungumza na mume wangu najua atanielewa.

Bado hujasema ni kwanini utahitaji kazi ......!!!!!!!!!
 
kaa mwaka mzima hvi bila kufanya cha maana,ht km hela unapewa af utaniambia,ndo mana even the richest men n women in the world wanaenda kazini na wanafanya vitu vingine,for passion na pirpose in life,money i s not everythng,kukaa hom sikai,bora nisafiri,

Mimi ni mwanaume na kiasili tumeumbwa kutafuta kwaajili ya familia
Sasa unadhani kama mimi nikiona ni tatizo kukaa nyumbani ni sawa na wewe!!
 
Back
Top Bottom