Swali kwa wanawake wote hapa...

Swali kwa wanawake wote hapa...

lol...hapa inabidi nikatafute madesa yangu ya PHILOSOPHY na PSYCHOLOGY kukujibu!!!!!

Hapa mi nakujibia yangu ya STD 5B .........!!!!!!!
Na mwalimu wa darasa alikuwa anaitwa Kimboro Fupilina!!
 
Ningeongea nae tu taratibu na nimpe faida za wote endapo nitafanya kazi ili zitusaidie mbeleni am sure angenielewa

Hebu ziweke hapa hizo faida .......!!!!!!!!
 
Hela si anazo,ningekaa home,and do things i love apart from work,like kusafiri,kusimamia miradi midogomidogo,projects za charity,kujiendeleza kielimu,ningezaa watoto na kuimarisha family yetu cz he's been there fo me,inshort ningemng'ang'aniajee...as long as anatoa matunzo full time,why nottt...
Ila not all my life ,sifanyi kazi kwa muda tu,cz ntakuwa bored,and sidhani kama atanipa EVERYTHING I DESIRE...
 
Ni ushahidi wa aina gani unao utaka?
Uliokufanya ukasema uliyosema
we kwa mawazo yako unadhani kila jambo mpaka liwe na ushadi ndio lionekane lipo kukosa ushahidi haimaanishi
Wewe ni jini?
Umewezaje kukijua kilichoko mawazoni mwangu?
We masai vipi?
mambo hayo hayafanyikiLabda kama haujakisoma vizuri nilichokiandika
Mambo gani hayafanyiki?
Nimekisoma lakini hueleweki
We ulitaka mpaka nani aniambie ndo awe sample ya wanaume wote duniani?
Nani amesema kuwa hadi uambiwe na mtu?
Kuna sample gani ya mtu mmoja?
We una dhani wanaume wote wanakojoa wame simama kuna wengine wanachuchumaa.
You assuming much about me Masai
Umejuaje kuwa nadhani hivyo?
Wapi nimesema hivyo?

Angalia usije uka assume kuwa mimi ni shemeji yako
Usi ishi kwa kukariri mkuu!
We masai leo umezidisha Kiloriti nini?
Kipi nimekariri??
 
mambo vipi mkuu? hebu nipe lecture kidogo jinsi ya kureply kwa kukata vipande vipande hivi. nilishajaribu lakini nikashindwa. jioni njema besti.

Mkuu huyo Masai anaweza asikujibu
Inaonekana leo amezidisha Kiloriti

Akikuletea zake niambie nikujibu!!
 
mambo vipi mkuu? hebu nipe lecture kidogo jinsi ya kureply kwa kukata vipande vipande hivi. nilishajaribu lakini nikashindwa. jioni njema besti.

Pm au hapa hapa hadharani!
 
nitamkubalia huku nikijipanga namuingiaje nimuweke kwenye mstari ili mambo yaende sawa ktk hli cwez kuwa mkaidi coz wat i did ni kurudisha fadhira kwa wema alonifanyia kwa kumsikilza kile anachotaka
Ni makosa makubwa kufanya jambo kwa sababu mtu alikufanyia jambo fulani
Huo ni utumwa
najua mwanaume anapenda kuheshimika na kusikiliza ktk hili cwez kuwj mbishi coz tumetoka mbali. kwan angeweza kuniacha kpnd cha matatizo lakin alikuwa mwenye ubinadamu na kunihudumia.
Bado hairidhishi
kwanin nilete zengwe ktk hli akuu namsikiliza mume mia jaman coz kupendwa kama huko hakujapata tokea.
Kungekuwa kumetokea?
naamin kwa kumsikiliza vle yeye anataka atanisikiliza nami pia ktk swala la kutafuta tena kazi huku nikisali kwa maombi na mungu atanisikiliza hatimae mambo yatakuwa mazur.
Kwanini unataka kufanya kazi?
Habar ya jion mtumishi. ni hayo tu
Habari ya jioni ni njema tu
Shemeji hajambo?

Ukimuona Paloma mwambie ile chibuku yake aliyoisahau kwa mama muuza juzi akaichukue ....lol!!
 
Last edited by a moderator:
Niongezee: uzuri elimu ninayo,siku akipata matatizo ntatafta kazi,..so hyo free lunch ya mume nakuwa full time student ,masters,ma'cpa,cfa nk....#secrectly praying Mungu anipe huyo mume,niwe napiga vacation tuu,ila the kuumwa part naogopaa..
 
Ila not all my life ,sifanyi kazi kwa muda tu,cz ntakuwa bored,and sidhani kama atanipa EVERYTHING I DESIRE...
Utatafuta kazi kwasababu ya kuwa bored?
Hiyo ni sababu tosha ya kutafuta kazi??
 
Niongezee: uzuri elimu ninayo,siku akipata matatizo ntatafta kazi,..so hyo free lunch ya mume nakuwa full time student ,masters,ma'cpa,cfa nk....#secrectly praying Mungu anipe huyo mume,niwe napiga vacation tuu,ila the kuumwa part naogopaa..

Yupo mmoja anaitwa Masai Phlagiey ......
Ruka nae .......!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom