Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,200
- 1,850
- Thread starter
- #61
Alooooh!!!, ni balaa.Mwisho wa siku utakuta mabwana zao na masponsor ni andunje,
Good evening
Alooooh!!!, ni balaa.Mwisho wa siku utakuta mabwana zao na masponsor ni andunje,
Good evening
Tekno ni simu kama zingine 🙏🙏.Usidharau mbachao kwa msala upitao. Kuna mtu ambae hajatumia Tecno!?, Labda kama na nyie ni watoto wa afu mbili
Imefanikiwa Mkuu😁.Hii imekaa vizuri maana ameleta bandiko la research yake amepata jibu na specimen juu yake so bila shaka hii research yake itaenda kufanikiwa kwa asilimia mia 😂😂😂
Wanakosa mvuto upi?Hawana mvuto
Aisee.... Hata awe na fweza ka Bakhresa?Ndio sijawahi,najua nitakua mnafiki tu kumjibu nampenda pia
Aaah wapi Atoto, warembo wengi wamedai hivyo.Nani alikwambia hizo habari? Huo ni uongoooo🤣🤣🤣
Waulize wanawake wenyewe wanasemaje?Unaamini kuna mwanamke anaweza kumkataa Mo kwa kuwa ni mfupi?
Una chuki binafsi na vishotii.Wana sifa na tabia zote mbaya unazozijua wewe, HAWAFAI!!!
E bhana weeeee!!!!!..Mola anisamehe kwa hili.. Ilitokea tu.. Napenda kunyanyua shingo tukipiga ma busu kama tumesimama.. na niweke kichwa kifuani kwake pia... Sio kichwa changu kiwe juu yake tukiwa usawa wowote ule... Eeeeh
Hongera sana mkuu😅😅Imefanikiwa Mkuu😁.
Achana na hao wadangaji pro maxAlooooh!!!, ni balaa.
Wapuuze, hao ni waongo.Aaah wapi Atoto, warembo wengi wamedai hivyo.
Sawa.Nje ya mada, nahisi kama vile nakufahamu.
Hapana,nauheshimu sana moyo wanguAisee.... Hata awe na fweza ka Bakhresa?
Aisee 😂🤣Nami nilitaka kuuliza mfupi kwendea wapi? Juu au nyuma?