Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,196
- 1,846
- Thread starter
- #21
Wengi wao husema hawapendi wanaume wafupi, mpaka sasa naendelea kutafuta sababu ni nini!!!.Ni mtazamo tu
Wengi wao husema hawapendi wanaume wafupi, mpaka sasa naendelea kutafuta sababu ni nini!!!.Ni mtazamo tu
Nimesikia pia mkisema wanaume wafupi wana vibamia je ni kweli au ni chuki binafsi?Nahisi kama natembea na mwanangu ivii,yani mwanaume niwe nauona utosi wake tukisimama hapanaaaaa
Mbona zinauzwa sasa kama sio simu😢 Nimesikitishwa 🤣Tafuta kifaa cha mawasiliano cha uhakika , tekno sio simu
Kwamba tekno ni kifaa cha mawasiliano?😆😆😆😆🥺.Tafuta kifaa cha mawasiliano cha uhakika , tekno sio simu
Demu una jina tamu hivyo ila unatumia " Tekinooo" 😭😁😁😁.Mbona zinauzwa sasa kama sio simu😢 Nimesikitishwa 🤣
Hii inamaanisha nini?
Huo ni uongo.Hahaha,
Kwamba kimo chako ni kiwango cha mpunga wako!!
Sijui mkuu naonaga watu wanadai hivyo na mimi nafuata mkumbo tuKwamba tekno ni kifaa cha mawasiliano?😆😆😆😆🥺.
Akapambane wapi sasa na hana ramani?
Lakini ni kweli Mkuu.Sijui mkuu naonaga watu wanadai hivyo na mimi nafuata mkumbo tu
Hakika sielewiiii,, sijawahi hataaa kuchunguliaNimesikia pia mkisema wanaume wafupi wana vibamia je ni kweli au ni chuki binafsi?
Kwahiyo ninyi mishangazi hamchagui?Hili swali nadhani linawahusu watoto wa 2000 ila kwa sisi mishangazi hapana
Kwamba hujawahi kuwa kwenye mahusiano na vishotiii?Hakika sielewiiii,, sijawahi hataaa kuchungulia
Urefu hauleti mkate nyumbani.Kwahiyo ninyi mishangazi hamchagui?
Kwahiyo umeolewa na Mrefu?Wanaume wafupi
1. wanawivu sanaaa tena ulopitiliza.
2. Wanahasira sanaa, yeye kutoa ng'eo kwake haoni shida.
3. Hawajiamini Kabsaa, Kila siku atahisi unamsaliti, hasa ukiwa wewe mwanamke mrefu mwanaume mfupi utajuta.
Naongea kwa uzoefu kutoka ndani ya familia.
Ukiwa mwanamke mrefu olewa na mrefu mwenzio.
Mwanamke mfupi kuolewa na mwanaume mrefu Haina shida ila mwanamke mrefu ukiolewa na mwanaume mfupi, jiandae kisaikolojia.
Haya Uzi ufungwe tuendelee na mambo mengine.
Kinachoangaliwa ni kipato siyo?Urefu hauleti mkate nyumbani.
Kuendelea ni kupotezeana mda tu kwa kweliHaya Uzi ufungwe tuendelee na mambo mengine.
Sawa kabisa.Haya Uzi ufungwe tuendelee na mambo mengine.