Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Hii njianhuwa salama sana endapo mtu anapata mtu sahihi.

Inatakiwa mwanamke ajiweke katika mazingira ambayo hata mwanaume mwenyewe aone aibu kuomba penzi kabla ya Ndoa.

Lakini kwa mwanamke ambae amejiweka mazingira ambayo mwanaume anashawishika kuomba penzi kabla ya ndoa kwa nini mwanaume asiombe kuzini na huyo mtu?

Kwa sababu kama anavaa kwa kutamanisha na kujiweka mazingira hayo basi kuombwa penzi ndio reaction ya action ya mazingira anayojiweka.

Kila kitendo lazima kiwe na athari zake.
Kitendo cha mwanamke kujiweka mazingira ya kuvutia kingono na kuwatamanisha wanaume wengine basi athari zake ni kuwa mwaanaume hatokubali kumuacha hivi hivi wakati kila siku akimtamanisha kwa mavazi adimu kama hayo.

Na mwanaume hawezi kuamini kwamba ni kweli unajitunza mwanamke wakati mazingira yakko yanaonesha kwamba haupo kwa kujitunza.

WANAWAKE WANAFANYA KOSA KUBWA kuwaamini wapenzi wao(wachumba).
Wanawake sikilizeni : mwanaume pekee unaepaswa kumuamini ni mumeo tu" kwa sababu huna uhakika kwamba huyo utakayempa penzi kama atakuoa au atakuacha.kwa hyo kama anashida kweli akusubiri.

Lakini pia wanaume nao tuna matatizo sana.hivi unamuoaje na kumuamini mwanamke ambae alikubali kukupa penzi kabla ya ndoa?

Kama aliweza kukupa penzi wewe ambae sie mumewe na hujamuoa je atashindwa kuwapa wengine penzi ambao pia sio waume zake na hawajamuoa?... Una nini cha ziada mpaka ujiamini kwamba anakupa penzi peke yako?.


Hahahahhaahha MOTHER confessor
Much words but no logical point
 
Na wanawake wasiokuwa na bikira wanakuwa wana ugonjwa huo wa kiakili wa kukosa confidence ya kuwanyima wapenzi wao kabla ya ndoa.

Kwa sababu anaoona kwamba hivi nikimnyima alafu akasubiri mpaka ndoa na akakuta sina bikira je ataonaje?...hapo ndo mwanamke huona bora aachie.kumbe ndo anazidi kujiharibia.kwa sababu sio kila mwanaume nni muowaji,wengi wanatumia gia hiyo kupata ngono tu,hivyo anachotakiwa mwanamke kupima ni kunyima penzi kabla ya ndoa ili aone kwamba huyu mtu ana nia ama mzushi tu.

Lakini iwe pamoja na kumfikishia habari kwamba bhana mimi sio bikira niliteleza hapo nyuma kwa hiyo ukiridhika na hali hiyo nisubiri mpaka ndoa kama hunamini basi njiannyeupe.

Wanawake wakiwa na misimamo hii basi hupelekea kupata mume ambae ana malengo nae kweli kweli.kwa sababu atapata mume ambaye amemkubali mapungufu yake.

Na sio kwamba tunaona kwa sababu hatuna mapungufu,bali tunaoa kwa sababu tumeyakubali mapungufu.

Njia hii ni salama sana.
Hapo sawa
 
unaweza kubali ila unajua njiani utamfaidi na kuona yote kabla ya hata hoyo ndoa, ila akijifanya kukaza mpaka mwisho namkimbie nisije nikajibebea boom na hizi ndoa za MPAKA KIFO
 
tutakubaliana....kama hana "BIKIRA" leo harusi kesho "TALAKA" ni makubaliano rasmi......maana kibora kinaliwa wakati wowote
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾

Binafsi akisema yeye hivyo...nitakubaliana naye.

Ila sitoacha kumchokoza!
 
Back
Top Bottom