Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Nipo single kivipi wakati nipo na weweHadi unihakikishie kuwa upo single
Nipo single kivipi wakati nipo na weweHadi unihakikishie kuwa upo single
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()




😂😂😂😂😂Bado mapenzi hayo yana walakini.
Kwangu mimi ningekuwa mwanamke basi nisingekuja kumwamini mwanaume mnywa pombe,yani mwanaume anasema muende disco alafu mwanamke anakubali tu aaaa.hapana.
Wanawake hawako siriaz na tupu zao kabisa,lakini thamani yake wanakuja kuiona baaadae kabisa kwamba kumbe ilitakiwa kutunzwa katika kila hali.
Mmeo mwingine jeNipo single kivipi wakati nipo na wewe
Sina mume zaidi yako mimiMmeo mwingine je
Amin amin nakuambia mi nina afadhali mara mia 8 ukilinganisha na majirani zanguDear Babu,
Mbinguni utapasikia tu kwa majirani
Acha uhuni kijanaMimi kipaumbele changu cha kwanza ni SEX.. nakuwa na mwanamke kwa sababu ys SEX.. mwanamke bora kwangu ni yule ambaye hatusumbuani kwenye SEX.. mwanamke ambaye kwenye SEX hatusumbuani anapata chochote ambacho naweza kumfanyia!
Siwezi kuwa na mwanamke wa hivo.. labda nikubali then nimbane kwenye 18 zangu Nimtie!
KHAN
Naogopa kum tag tenaSina mume zaidi yako mimi
Huyo unayemtag mimi hata simjuiNaogopa kum tag tena
Jibu lake unalo lakiniChangia ila usitoe siri zetu mwenza..lol

Nitamwambia "No money untill marriage" hata ya soda hapati.N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..![]()
Huyo unayemtag mimi hata simjui
Ungempinga pale aliponipiga mkwara ningekuelewaakikujibu, fanya kunitag hiviNaomba kufahamishwa hiyo "break mapaja" tafadhali kama hutojali
Huo ubinafsi sasa...khaaNitamwambia "No money untill marriage" hata ya soda hapati.
Nyau wewe🤣🤣Jibu lake unalo lakini![]()
Huo ubinafsi sasa...khaa
NitamkubaliaN'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍾
Umekosea, hilo si swali kwa wanaume rather ni swali kwa vijana.N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾