Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Mimi kipaumbele changu cha kwanza ni SEX.. nakuwa na mwanamke kwa sababu ys SEX.. mwanamke bora kwangu ni yule ambaye hatusumbuani kwenye SEX.. mwanamke ambaye kwenye SEX hatusumbuani anapata chochote ambacho naweza kumfanyia!

Siwezi kuwa na mwanamke wa hivo.. labda nikubali then nimbane kwenye 18 zangu Nimtie!

KHAN
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..

Dah...unakubali tu Kama kila mmoja atajilipia bills zake
 
Bado mapenzi hayo yana walakini.

Kwangu mimi ningekuwa mwanamke basi nisingekuja kumwamini mwanaume mnywa pombe,yani mwanaume anasema muende disco alafu mwanamke anakubali tu aaaa.hapana.

Wanawake hawako siriaz na tupu zao kabisa,lakini thamani yake wanakuja kuiona baaadae kabisa kwamba kumbe ilitakiwa kutunzwa katika kila hali.
😂😂😂😂😂
 
Mimi kipaumbele changu cha kwanza ni SEX.. nakuwa na mwanamke kwa sababu ys SEX.. mwanamke bora kwangu ni yule ambaye hatusumbuani kwenye SEX.. mwanamke ambaye kwenye SEX hatusumbuani anapata chochote ambacho naweza kumfanyia!

Siwezi kuwa na mwanamke wa hivo.. labda nikubali then nimbane kwenye 18 zangu Nimtie!

KHAN
Acha uhuni kijana
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍾
Nitamkubalia

Baadhi ya niliokuwa nao kwenye mahusiano walikuja na gia kama hiyo halafu mwisho wa siku wakaishia kunitunuku "A For Apple" yaani tunda.
 
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Umekosea, hilo si swali kwa wanaume rather ni swali kwa vijana.
 
Back
Top Bottom