Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

Hata mie kama mwanamke sikubali!
Je ukute mwanamme ana KAPENSELI au LITANGO!!!

Lazima nione ndio nifanye maamuzi kama anafaa kuishi hadi kifo kitutenganishe au hafai!!!!
lazima ujue kama anafaa kwa matumizi ya binaadamu si eti eeh
 
Kwanza atakuwa hajitambui huyo mwanamke, nitaachana nae mara moja! Sasa yeye atauaje kama mashine yangu ataifurahia ktk ndoa? Akikuta kiduchu hata kibamia kikubwa?????
 
Na wanawake wasiokuwa na bikira wanakuwa wana ugonjwa huo wa kiakili wa kukosa confidence ya kuwanyima wapenzi wao kabla ya ndoa.

Kwa sababu anaoona kwamba hivi nikimnyima alafu akasubiri mpaka ndoa na akakuta sina bikira je ataonaje?...hapo ndo mwanamke huona bora aachie.kumbe ndo anazidi kujiharibia.kwa sababu sio kila mwanaume nni muowaji,wengi wanatumia gia hiyo kupata ngono tu,hivyo anachotakiwa mwanamke kupima ni kunyima penzi kabla ya ndoa ili aone kwamba huyu mtu ana nia ama mzushi tu.

Lakini iwe pamoja na kumfikishia habari kwamba bhana mimi sio bikira niliteleza hapo nyuma kwa hiyo ukiridhika na hali hiyo nisubiri mpaka ndoa kama hunamini basi njiannyeupe.

Wanawake wakiwa na misimamo hii basi hupelekea kupata mume ambae ana malengo nae kweli kweli.kwa sababu atapata mume ambaye amemkubali mapungufu yake.

Na sio kwamba tunaona kwa sababu hatuna mapungufu,bali tunaoa kwa sababu tumeyakubali mapungufu.

Njia hii ni salama sana.
 
🙄🙄🙄🤔
Yap mimi nimeoa bikra , nimekuta kitu freeeeeshiiiii, yaani kama hutaki mwambie kajitambulishe tu katoe mahari akiomba game mwambie mi sijawai huu mchezo we utakuwa wa kwanza usiniharibie. pole sana akina dada ambao mmesha tusuliwa hamna ujasiri basi wafundisheni wadogo zenu kwamba kitumbua inabidi kitunzweeeee
 
Yap mimi nimeoa bikra , nimekuta kitu freeeeeshiiiii, yaani kama hutaki mwambie kajitambulishe tu katoe mahari akiomba game mwambie mi sijawai huu mchezo we utakuwa wa kwanza usiniharibie. pole sana akina dada ambao mmesha tusuliwa hamna ujasiri basi wafundisheni wadogo zenu kwamba kitumbua inabidi kitunzweeeee
Sawa buanaa😂
 
Bado mapenzi hayo yana walakini.

Kwangu mimi ningekuwa mwanamke basi nisingekuja kumwamini mwanaume mnywa pombe,yani mwanaume anasema muende disco alafu mwanamke anakubali tu aaaa.hapana.

Wanawake hawako siriaz na tupu zao kabisa,lakini thamani yake wanakuja kuiona baaadae kabisa kwamba kumbe ilitakiwa kutunzwa katika kila hali.
Hii haitokei siku za mwanzo hadi mazingira ya uaminifu yatengenezwe kwanza
 
Back
Top Bottom