Wako Mtiifu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2018
- 261
- 633
Sawa niko tayari kukujuza, lakini wewe ni KE au ME?Naomba kufahamishwa hiyo "break mapaja" tafadhali kama hutojali
Sawa niko tayari kukujuza, lakini wewe ni KE au ME?Naomba kufahamishwa hiyo "break mapaja" tafadhali kama hutojali
Hata mie kama mwanamke sikubali!
Je ukute mwanamme ana KAPENSELI au LITANGO!!!
Lazima nione ndio nifanye maamuzi kama anafaa kuishi hadi kifo kitutenganishe au hafai!!!!




lazima ujue kama anafaa kwa matumizi ya binaadamu si eti eehTumeanzisha ''mahusiano ya kimapenzi'' halafu hataki kufanya mapenzii?? kwahyo anataka nn sasa kwenye hayo mahusiano



Na wanawake wasiokuwa na bikira wanakuwa wana ugonjwa huo wa kiakili wa kukosa confidence ya kuwanyima wapenzi wao kabla ya ndoa.
Kwa sababu anaoona kwamba hivi nikimnyima alafu akasubiri mpaka ndoa na akakuta sina bikira je ataonaje?...hapo ndo mwanamke huona bora aachie.kumbe ndo anazidi kujiharibia.kwa sababu sio kila mwanaume nni muowaji,wengi wanatumia gia hiyo kupata ngono tu,hivyo anachotakiwa mwanamke kupima ni kunyima penzi kabla ya ndoa ili aone kwamba huyu mtu ana nia ama mzushi tu.
Lakini iwe pamoja na kumfikishia habari kwamba bhana mimi sio bikira niliteleza hapo nyuma kwa hiyo ukiridhika na hali hiyo nisubiri mpaka ndoa kama hunamini basi njiannyeupe.
Wanawake wakiwa na misimamo hii basi hupelekea kupata mume ambae ana malengo nae kweli kweli.kwa sababu atapata mume ambaye amemkubali mapungufu yake.
Na sio kwamba tunaona kwa sababu hatuna mapungufu,bali tunaoa kwa sababu tumeyakubali mapungufu.
Njia hii ni salama sana.






Yap mimi nimeoa bikra , nimekuta kitu freeeeeshiiiii, yaani kama hutaki mwambie kajitambulishe tu katoe mahari akiomba game mwambie mi sijawai huu mchezo we utakuwa wa kwanza usiniharibie. pole sana akina dada ambao mmesha tusuliwa hamna ujasiri basi wafundisheni wadogo zenu kwamba kitumbua inabidi kitunzweeeee🙄🙄🙄🤔
Nimeogopa kusema vibaya
Hebu sema nijue
nimeshajizuiaSawa buanaa😂Yap mimi nimeoa bikra , nimekuta kitu freeeeeshiiiii, yaani kama hutaki mwambie kajitambulishe tu katoe mahari akiomba game mwambie mi sijawai huu mchezo we utakuwa wa kwanza usiniharibie. pole sana akina dada ambao mmesha tusuliwa hamna ujasiri basi wafundisheni wadogo zenu kwamba kitumbua inabidi kitunzweeeee
Hii haitokei siku za mwanzo hadi mazingira ya uaminifu yatengenezwe kwanza
Sema ili tuachane kabisa leonimeshajizuia
Changia ila usitoe siri zetu mwenza..lolMwenza nimemuuliza hapa mume wetu akanijibu. Je nami nichangie?![]()
AhahaWanaume tunashuhudia mengi wewe....nlishawahi kukutana na K ina meno. Hiyo ndo siku niligundua nina kipaji cha riadha. Tena MARATHON...
wax alishanikanyaSema ili tuachane kabisa leo
Kwa hiyo umeniacha?
Until further noticeHadi unihakikishie kuwa upo single