britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ikumbukwe ikatokea Chama tofauti na sisi kikaongoza basi yafuatayo ndo tutayajutia
1. Rais wao atakuwa na madaraka kadhaa ambayo yapo juu ya Mungu
Kuua, Kuteka, Kusweka watu ndani, namaanisha mmepuuza katiba mpya subiri nao waongoze,
2. Rais akitoka upinzani atatumia dola kulinda nguvu ya chama chake
3. Atatumia Rasilimali za nchi kuimarisha chama
4. Atateua wakurugenzi siyo kutumikia wananchi bali kutumikia Chama
Ndo maana Nasema Mlikata katiba mpya hali hii yaweza kuwakuta
1. Rais wao atakuwa na madaraka kadhaa ambayo yapo juu ya Mungu
Kuua, Kuteka, Kusweka watu ndani, namaanisha mmepuuza katiba mpya subiri nao waongoze,
2. Rais akitoka upinzani atatumia dola kulinda nguvu ya chama chake
3. Atatumia Rasilimali za nchi kuimarisha chama
4. Atateua wakurugenzi siyo kutumikia wananchi bali kutumikia Chama
Ndo maana Nasema Mlikata katiba mpya hali hii yaweza kuwakuta