stomatollogia
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 244
- 91
We jiBASHITEGE
(0%)Tundu Lisu ni retarded!
(0%)Tundu Lisu ni retarded!
EL yumo tu, si ndio ishu iliyomchomoa! Teh teh teh teh !Yes, ndio utambue kuwa wengine tuko kizalendo na kitaifa zaidi....
Sijui umenusa nini tu, maana naona kabisa ulitaka kumwingiza EL hapa lakini ukashtuka... hongera !!
Ishu za itikadi za vyama vyenu ni hukohuko kwenu bhana... tutaelewana na mtatuelewa tu..
Hakushindi wewe kwa safari zako za muhimbili kuchukua dawa za kukutuliza kila wiki. Huwezi kucomment bila kujudge? Au Una ugomvi na baadhi ya watu?Tundu Lisu ni retarded!
Wametengeneza Virus kwa Ndioooooo halafu leo wamekuja na Anti Virus wanataka tuwapigie makofi [emoji23]
So do you.As your f.a.t.h.e.r
Kama nimekupata vyema unachosema ni kuwa hata Tundu Lissu hajui kama Declaration ni takwa la kisheria au la. Bali ametumia experience tu kutabiri kuwa tutashindwa.
Hivi haingekuwa jambo jema kwa yeye kama nguli kwenye sheria na kwa kujua experience ya kushindwa mahakamani angejitolea kulisaidia Taifa kuwa hata ACACIA wakitushitaki yeye atajitolea kuwabana ili tukawashinde? Ni kwa nini anapenda kumkejeli RAIS wakati hajui udanganyifu kwenye Declaration ya madini ni kosa au la?
We BASHITE kwelikweli.....,Kuna mjuaji nchi hii kama Shizonje?,Muongo. Itakua umetoka EDA ama ulikuwa Mwali ndo mana huwajui MISIFAcamp ni kina nani.Siku hizi kila nikimsikiliza TL huwa namkumbuka saaana marehemu Banza Stone, kwa ule wimbo wake "ELIMU YA MJINGA" au kwa jina jingine "MTAJI WA MASIKINI". Kuna verse aliimba "mjinga hupenda majivuno,
hupendo majisifuu,
asichokijua hujifanya anajua,
mazuri ya kwakee mabaya ya wenzake......" TL ana sifa zote hizo. Anajifanya anajua kila kitu humu Duniani. TL angekuwa "smart" basi hata CDM wasingebeba oil chafu toka CCM kuwa mgombea wa urais.
kama KAKURUPUKA atiwe moyo tu.....?,ACHA UBASHITE.Mkuu. Hoja hapa ni kwa nini TL anapenda kutuaminisha kuwa Rais kachemka kwa kigezo cha sheria?
CCM sasa inafanya yale ambayo wananchi tulidhani akina TL wakichukua nchi watayafanya. Inachotushangaza wengine ni kuona sasa wanatoa kejeli kwa Rais wetu badala ya kumtia moyo.
Kama wapinzanibl waliodai mikataba ya madini kwa mida mrefu bila mafanikio ni watu wa hovyo, hawa waliosaini mikataba ya hovyo na kizuia kwa muda mrefu isiletwe bungeni. yupi wa hovyo zaidi?Tundu Lissu,Chadema,Mbowe na Zitto kabwe ni watu wa havyo sana nchi hii
Eti wape wape! Unabana pua kama shoga! Mkataba tuanauvunja, na nyie manaotetea mabwana zenu wazungu, mwende mkawatetee, halafu muone 2020 wananchi watawafanya nini nyambafu!!
Eti wape wape! Unabana pua kama shoga! Mkataba tuanauvunja, na nyie manaotetea mabwana zenu wazungu, mwende mkawatetee, halafu muone 2020 wananchi watawafanya nini nyambafu!!
as your m.o.t.h.e.rSo do you.
Yaani umeandika ukweli mtupu coz hawa akina Tundu Lissu, Mbowe na Chadema ndo waliopeleka hii miswada ya sheria ya madini tena mbaya zaidi kwa hati ya dharura.Tundu Lissu,Chadema,Mbowe na Zitto kabwe ni watu wa havyo sana nchi hii
Hiyo ni lugha tu ya kujikosha.Ukweli ni kuwa uthibitisho wa thamani ya mabaki hayo haiko wazi hadi uchunguzi huru.Na mfanya biashara yeyote hulenga kupata faida. Kauli yao ni kutaka kulinda kwa mbinu zozote ( utapeli,wizi,kisheria na ikibidi nguvu)! TL anaonyesha upande watakao utegemea zaidi kupata nafuu.Nimesoma maelezo ya Tundu Lissu kuwa kutokana na mikataba ilivyo madini na Mchanga ni mali ya wawekezaji.
TL anasema "Badala ya a smart president, tuna JPM anayeamini kwamba ametumwa na Mungu kuinyoosha nchi hii na neno lake ndio sheria. Matokeo yake, atagombana na wawekezaji na serikali zao na mabwana wakubwa wa kifedha duniani ambao ndio wamiliki halisi wa rasilmali zetu."
Anaendelea kusema "Watampeleka kwenye arbitral tribunals za kimataifa ambazo Mkapa na Kikwete walizikubali kuwa ndio mahakama za migogoro kati yetu na hao tuliowapa rasilmali zetu. Na tukipelekwa huko hatuponi kwa sababu tutakuwa tumevunja mikataba na sheria zinazolinda wawekezaji."
SWALI: Kwa nini wanatakiwa kudeclare concentrates za madini yaliyomo kwenye mchanga?
Je TL anaamini kuwa Declaration hiyo haina maana yeyote kisheria?
Mbona maelezo ya Brad Gordon (CEO wa ACACIA) haelezi kuwa Declaration ya quantities of concentrates ni non sense na haiwabani kisheria? badala yake anasema "We do not agree with the committee's findings"
Ni kwa nini basi anasema "I want to reassure you that ACACIA fully declares everything of commercial value that we produce" iwapo False declaration haina consequences zozote kisheria?
Mkuu sasa hivi tutawajua wanasiasa wa kweli na wachumia tumbo pande zote mbili Upinzani na CCM. Hawa jamaa wanapiga kelele utadhani serikali imenyang'anya migodi vile. Nashangaa sana maana hata ile kamati ya wataalamu wa sharia na uchumi haijatoa majibu na hata rais hajachukua hatua yeyote huyu Lissu na Zitto wapo vifua mbele.Nimesoma maelezo ya Tundu Lissu kuwa kutokana na mikataba ilivyo madini na Mchanga ni mali ya wawekezaji.
TL anasema "Badala ya a smart president, tuna JPM anayeamini kwamba ametumwa na Mungu kuinyoosha nchi hii na neno lake ndio sheria. Matokeo yake, atagombana na wawekezaji na serikali zao na mabwana wakubwa wa kifedha duniani ambao ndio wamiliki halisi wa rasilmali zetu."
Anaendelea kusema "Watampeleka kwenye arbitral tribunals za kimataifa ambazo Mkapa na Kikwete walizikubali kuwa ndio mahakama za migogoro kati yetu na hao tuliowapa rasilmali zetu. Na tukipelekwa huko hatuponi kwa sababu tutakuwa tumevunja mikataba na sheria zinazolinda wawekezaji."
SWALI: Kwa nini wanatakiwa kudeclare concentrates za madini yaliyomo kwenye mchanga?
Je TL anaamini kuwa Declaration hiyo haina maana yeyote kisheria?
Mbona maelezo ya Brad Gordon (CEO wa ACACIA) haelezi kuwa Declaration ya quantities of concentrates ni non sense na haiwabani kisheria? badala yake anasema "We do not agree with the committee's findings"
Ni kwa nini basi anasema "I want to reassure you that ACACIA fully declares everything of commercial value that we produce" iwapo False declaration haina consequences zozote kisheria?
Unauliza jibu?Una maana upinzani ulikataliwa kuweka Declaration of mineral concentrates kuwa takwa la kisheria?
Unaonaje ungepangua kwanza hoja zake? Mipasho yako ndo ingepata mvuto ati.Wengi hamumjui lissu na mnafikiri ni mtu wa maana kwa maneno yake. Huyu sio lissu aliyepigania waliofukiwa bulyankulu. Muulizeni pesa alizojengea ghorofa, kununua Isuzu trooper 5 na vogue moja kabla hajawa mbunge na linganisha na mshahara aliokuwa akipata akiwa mwanasheria wa LEAT.