ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
Hoja?Tundu Lissu,Chadema,Mbowe na Zitto kabwe ni watu wa havyo sana nchi hii
Hoja?Tundu Lissu,Chadema,Mbowe na Zitto kabwe ni watu wa havyo sana nchi hii
Delivery style? Muhimu ni content!Kuna siku uliwahi kumuona TL anaongea bila Ku shout na mishipa ya shingo kumsimama?
Eti wape wape! Unabana pua kama shoga! Mkataba tuanauvunja, na nyie manaotetea mabwana zenu wazungu, mwende mkawatetee, halafu muone 2020 wananchi watawafanya nini nyambafu!!
Mkuu. Hoja hapa ni kwa nini TL anapenda kutuaminisha kuwa Rais kachemka kwa kigezo cha sheria?
CCM sasa inafanya yale ambayo wananchi tulidhani akina TL wakichukua nchi watayafanya. Inachotushangaza wengine ni kuona sasa wanatoa kejeli kwa Rais wetu badala ya kumtia moyo.
Kama unataka Tundu Lissu asiwe wakili wa ACACIA go and repeal article 13 of URT constitutionTundu Lissu anachowaza ni madaraka tu, hana uchungu wowote na nchi, na usijekushangaa acacia wakifungua kesi akawa wakili wao, punda huyo wa wazungu.
Nadhani basi ingekuwa hekima kwa Tundu Lissu kuacha kumkejeli na kumtishia RAIS wetu kuwa tutashindwa mahakamani wakati ngoma yenyewe bado ni mbichi kabisa. Na ni vizuri akashauriwa na hao anaowaona ni bora kuliko RAIS wetu atumie uwezo wake aliojaliwa na Mwenyezi Mungu kusoma sheria na mianya itakayotuokoa ili mwisho wa siku watanzania wote na vizazi vyetu tuwe washindi dhidi ya UFISADI huu.
Usitutoe katika mjadala. Unashangaa wakili wa kiwango cha Lissu kujenga ghorofa? Mbona mnamshangilia Bashite anayejenga ghorofa akiwa kwenye ofisi ya serikali, tena akiwa na muda mfupi tu kazini, na mbaya zaidi huku akiwa na tuhuma za wazi za jinai?Wengi hamumjui lissu na mnafikiri ni mtu wa maana kwa maneno yake. Huyu sio lissu aliyepigania waliofukiwa bulyankulu. Muulizeni pesa alizojengea ghorofa, kununua Isuzu trooper 5 na vogue moja kabla hajawa mbunge na linganisha na mshahara aliokuwa akipata akiwa mwanasheria wa LEAT.
Kama tu ilivyo kwa "wafanyabiashara wa madawa ya kulevya" na Bashite! Hii nchi kwa kweli, Mungu atusaidie!Zile Bill 300 alizosema Polepole ninapata mashaka kama hazijaanza kuzagaa...
Tatizo ni mechanical approach to the problem. Ni kitu cha ajabu kujifunga kwenye mkataba kuwa mchanga utakuwa exported halafu ghafla tunazuia exportation! Huko ni kuvunja mkataba. Pili, tunatumia ripoti ya kamati ya upande mmoja kuhalalisha permanent ban on exportation. Bila shaka mkataba umeweka utaratibu wa kutatua migogoro na sidhani kama umefuatwa. Matokeo yake tutashtakiwa na tutashindwa. Isitoshe, tatizo letu kubwa kuhusiana na madini siyo mchanga unaosafirishwa bali mapato duni kutoka kwenye sekta yenye fursa kubwa. Je, kwa kuzuia exportation ndiyo tumeongeza mapato? Jambo la msingi hapa ni mikataba na hilo linahitaji mazungumzo siyo mabavu. Hii ndiyo tofauti iliyopo.Mkuu. Hoja hapa ni kwa nini TL anapenda kutuaminisha kuwa Rais kachemka kwa kigezo cha sheria?
CCM sasa inafanya yale ambayo wananchi tulidhani akina TL wakichukua nchi watayafanya. Inachotushangaza wengine ni kuona sasa wanatoa kejeli kwa Rais wetu badala ya kumtia moyo.
Uandikaji wa aina hii unaonyesha uelewa ni mdogo. Yaani unavyopanga maneno inaonyesha bado unahitaji daftari la mazoezi. brevity! Brevity! ....Kwa kuwa ww ni pimbi wala wenye akili hatukushangai ...huna marinda sasa uongee nn ?
Endelea na upimbi wakoUandikaji wa aina hii unaonyesha uelewa ni mdogo. Yaani unavyopanga maneno inaonyesha bado unahitaji daftari la mazoezi. brevity! Brevity! ....