No tangue here, Dude... just black ink !!
Acheni ujinga, tutakataa upuuzi wowote wa kisiasa nyie CCM mnaotuchezea....
Mikataba mlisaini nyinyi wenyewe, sheria za madini mlipitisha nyie wenyewe tena kwa hati ya dharula leo mnaanza kulialia kuwa mnapigwa ?
Huyuhuyu Rais wako leo anayejifanya kulia sana kwenye msiba wa mtu waliyemuua wao wenyewe, was part and parcel of hii kitu, anataka kutuambia nini leo, eti ??
Pathetic CCM......na sisi wengine siyo wajinga wa kiwango chenu eti, tutahoji na kuwakatalia kila aina ya ulaghai na ujinga mtakaojaribu kuuleta, no matter mtatuita majina gani !!
Wauaji na wanafiki wakubwa nyie. Acha i - back fire na mnyolewe bila maji....