Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,759
- 2,794
Ndg zangu ambao hatujuani mliomo humu, na wanachama wengne wote,
hope mko vizuri.
bila mambo mengi naomba nifanye kilichonileta hapa:
je siku watoto wa mkeo wakianza kukudhihaki na kukudharau kwa namna yoyote, utachukua hatua gani?
na kama hali hiyo iliwahi kukutokea ulijisikiaje, na ulifanya nini?
Jamani tusaidiane haya mambo yapo na yataendelea kuwepo..
Mkuu PLO, tuko pamoja bega kwa bega.
hope mko vizuri.
bila mambo mengi naomba nifanye kilichonileta hapa:
je siku watoto wa mkeo wakianza kukudhihaki na kukudharau kwa namna yoyote, utachukua hatua gani?
na kama hali hiyo iliwahi kukutokea ulijisikiaje, na ulifanya nini?
Jamani tusaidiane haya mambo yapo na yataendelea kuwepo..
Mkuu PLO, tuko pamoja bega kwa bega.