Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
- Thread starter
- #41
Kununua mgodi na kuendesha mgodi ni vitu viwili tofauti kabisa. Havifanani hata kidogo. Kukuelewesha vizuri nitatoa mfano huu: Mfano unaofanana na wazo lako ni kama vile unataka bodi ya Shirika la Afya Muhimbili iwaondoe wafanyakazi wake wooote (eg madaktari, manesi, watu wa maabara, wafasia nk) halafu ichukue watu mtaani wakazibe zile nafasi!
Kwani Serikali haiwezi kununua Mgodi na kuendelea kuundesha wakati kila kitu kikiwa intact, kama Wafanyakazi na Mikataba yao, na mambo mengine ambayo yapo? Kwa kifupi ni kama kubadilisha mmiliki tu lkn kila kibakie vile vile labda hata kuweka makubaliano na wauzaji kwenye kukodisha expertise n.k.