Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nimeona Serikali yetu imepokea Mabilioni ya Fedha ktk kwa Mashirika yetu (hongera kwetu), sasa kwa nini Serikali yetu isinunue mmoja wa Migodi ya Acacia kama vile Buzwagi na kufanya production yenyewe, nina uhakika chini ya usimamizi wa Raisi wetu Magufuli na Waziri Mkuu wetu Majaliwa tutaweza kuuendesha Mgodi wenyewe, kwani mara ya mwisho nilisoma kwamba thamani ya Buzwagi ni kama milioni 300 USD, hii ni kama sawa tu gawio la ktk kwa mashirika yetu kama sijakosea, ...