Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?
Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?
Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?
Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?
Je ni nina wafadhili wa ACT?
Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?
Kama sio kwanini?
Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?
Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??
Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?
Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?
Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?
Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?
Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)
Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?
Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?
Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?
Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati
Source ya habari yako kinyero itakuwa ni gazeti la kufungia maandazi la UhuruCHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
una utani na sitta wewe! Mzee wa ccj!CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
kuizidi ccm?ACT ni chama makini sana
labda kigoma na si tanganyika, zanzibar wala tanzania!CHAMA MAKINI.CHA ACT KINAJIANDAA KUCHUKUA NCHI mwakani
Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?
Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?
Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?
Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?
Je ni nina wafadhili wa ACT?
Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?
Kama sio kwanini?
Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?
Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??
Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?
Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?
Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?
Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?
Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)
Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?
Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?
Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?
Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?
ACT ni chama makini sana
Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.
Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?
Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?
Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?
Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?
Je ni nina wafadhili wa ACT?
Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?
Kama sio kwanini?
Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?
Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??
Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?
Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?
Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?
Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?
Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)
Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?
Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?
Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?
Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati
Kwanza niwapongeze wachangiaji kwa kutambua uwepo wa ACT na kuipa promo,kwa Tanzania ya sasa inahitaji chama kinachojali maslahi ya wanyonge kama ACT.
kuuliza swali kuwa Zitto na Dr.Kitila wataweza kuleta mabadiliko kwa vitendo ni kujitoa ufahamu.
uadilifu wa Zitto ni wa kupigiwa mfano,ni Mbunge pekee aliepinga posho kwa maneno na vitendo.
Ndio mbunge pekee ndani ya Bunge la katiba na Bunge la Jamhuri asiepokea posho.
Kiukweli kama Zitto atajiunga na ACT basi chama hiki kitaungangwa mkono na watanzania wengi ambao wameshakatishwa tamaa na siasa za Maslahi.
Wacha povu liwatoke lkn ACT tunasonga mbele,nyuma kwetu mwiko.
Acha kutumiwa na Mabepari wanaotumia kodi zetu kwenda kutanua Dubai,
Vua gamba ,vua gwanda ,uvae uzalendo.
Hujui chochote wewe, uko ktk mambo ya honey(asali) wakati sisi tuko kwenye operation pambana na Chadema.
Kakojoe ulale wewe, mambo ya asali kaa nayo wewe na wajinga wako sisi tunapambana na Chadema haswa
ACT-Tanzania chama makini kupambana na Chadema TU
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.