Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

Hiki chama kitayeyuka kama cd za uzalendo za zzk
 
Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?

Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?

Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?

Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?

Je ni nina wafadhili wa ACT?

Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?

Kama sio kwanini?

Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?

Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??

Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?

Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?

Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?

Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?

Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)

Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?

Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?

Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?

Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?

Unategemea kweli mtu mwenye akili atajisumbua kujibu maswali haya? Kwa nini mnawaogopa hawa jamaa? Nyinyi mliwaona hawafai, basi waacheni wakajaribu kwingine. Kama kweli ni bogus, chama chao hakitafika mbali. Kama kitajionyesha kuwa tofauti na hivyo vilivyopo basi kitapata wafuasi wengi. Acheni wananchi waamue na sio kuanza kuwaporomoshea matusi na dhihaka. Tuheshimu haki ya msingi ya kila raia ya kuanzisha au kujiunga na chama chochote anachoona kina mvuto kwake bila bughudha yeyote.

Amandla......
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati

Ngoja tuone! Siyo kaz rahisi kuanzisha taasis ya kisiasa ukapata mafanikio kiharaka haraka! Sijajua malengo ya ACT, je ni kupata hata wabunge au kuongeza rundo tu la vyama ambavyo havina tija! Ina maana vyama vyote vilivyopo havifai hadi kuongeza tu vyama vingine? Naona kuna lengo lisiloeleweka kwa kisingizio cha kukuza Demokrasia. Na ni wakati kama huu huu kuelekea uchaguz mkuu uliopita 2010 ambapo CCJ ilizaliwa, lakini leo si chochote tena! Vyama vya malengo yaliyojificha hivi,wala siyo kukuza Demokrasia, target ikifikiwa kinakufa
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
Source ya habari yako kinyero itakuwa ni gazeti la kufungia maandazi la Uhuru
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.
una utani na sitta wewe! Mzee wa ccj!
 
Acha kuweweseka mchana kweupe wewe
Mmeamza kutokwa povu mapemaaaa
Safari hii mtakoma cdm
KUMBE KWELI MBWA HAJUI UMUHIMU WA MKIA WAKE HADI UKATIKE, NA HAKIKA MTAACHA HARAKATI ZA KIHUNI ZA UKAWA NA MMESHAHAMIA RASMI KUISAKAMA ACT TANZANIA

Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?

Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?

Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?

Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?

Je ni nina wafadhili wa ACT?

Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?

Kama sio kwanini?

Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?

Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??

Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?

Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?

Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?

Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?

Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)

Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?

Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?

Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?

Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?
 
ACT ni chama makini sana

Ni chama cha aina yake nchini na huenda duniani. Ni chama kinachoundwa na wanaohisiwa kuwa wasaliti na wahaini wa vyama mama pia ni viongozi wanaoweza kuongea kwa hisia kali na kutisha waonekane wazito ili wahongwe parefu. BIG UP ACT na waasisi wake wote.
 
Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.

Umekosea kidogo....Tangu mwaka 2008 ZITTO ALIPOONYESHA NIA YA KUGOMBEA UENYEKITI WA CHAMA mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na WAMILIKI WA CHADEMA, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa ATAWANYANG'ANYA UMILIKI WA CHAMA, UPANGO UKAFANYWA NA WAMILIKI HAO...AKAUNDIWA ZENGWE NA MENGINE NI HISTORIA.
 
Kwakuwa ACT ni chama chenu mlichoanzisha kwa fedha na utashi wenu, Je ni lini mlianza harakati za kuazisha chama hiki cha siasa? (maandalizi yalianza lini na mawazo yalianza?

Je mlitumia rasilimali kiasi gani za Chadema kwa siri kuanza kujenga mitandao ya chama chenu kipya?

Je waraka wa siri ulikuwa ni mkakati wa kudhoofisha CDM na kisha kukimbia na wanachama?

Je Pm7 ilikuwa ni moja ya malengo ya kuanzisha ACT?

Je ni nina wafadhili wa ACT?

Je CDM walikuwa sahihi kuwaita wasaliti?

Kama sio kwanini?

Ni haki na itakuwa sawa kutumia matamshi yenu na matendo kuwapima ndani ya ya ACT?

Nia yenu ya dhati ni hasa! madaraka, fedha, kutumika au kujenga demokrasia au vyote??

Je ni kweli kwamba lazima uwe msomi mzuri ndio uweze kupata aina yeyote ile ya uongozi?

Je ni kweli mmoja wenu akikosa madaraka ataanzisha chama chake ,mwenyewe?

Je ni kweli ni chama cha wote wanaofukuzwa na vyama vyao? kujiunga?

Je ni kweli hamtakuwa na katiba wala kanuni zinazobana maadili, miiko, weledi kwani siku zote katiba na kanuni zinanyima uhuru halisi wa binadinamu?

Je ni kweli kila mtu ataruhusiwa kuongea lolote kwa yeyote na wakati wote,( hakutakuwa na neno siri wala vikao vya siri)

Je ni kweli muda wa kampeni ni wakati wote na yeyote anaweza kumpindua kiongozi yeyote bila kufuata taratibu yeyote?

Je ni kweli yeyote anaweza kuanzisha chama chake akiwa bado mwanachama hai wa wa ACT?

Je ni kweli kiongozi yeyote wa ACT anaweza kudhoofisha nguvu za ACT kwa fedha za yeyote akona inafaa kama mwenye fedha atataka iwe hivyo?

Je ni kweli kiongozi wa ACT anaweza kuuza jimbo la uchaguzi kwa ccm kwa fedha ?

Vp ugonjwa wako umekwisha toka uzame kwenye lile shimo la choo akili ikaruka basi huweleweki kwa maneno unayoongeya
 
ACT ni Chama makini watch me,Mwigamba,ZZK na Kitila Mkumbo vijana makini,tunataka mageuzi ndani ya Chama kipya sasa,propaganda zifikie tamati

ACT ni chama cha watu waliokosa kugombea uenyekiti kwenye vyama vyao!
Nasikia katiba Yao itaweka kipengele cha ukomo wa uongozi kuwa mwaka mmoja kwa lengo la kumwezesha kila mwana-ACT kuwa mwenyekiti Taifa angalau katika maisha yake!
Ni chama ambacho unaruhusiwa uanachama ilimradi usitokee Kaskazini!
Mapato ya ACT na mikakati Yao itakuwa wazi kwenye mbao zote za matangazo nchini!
Ni chama ambacho hakitakuwa na kitengo cha ulinzi wa ndani wala intelijensia!
Ni chama ambacho makao yake makuu yatakuwa nchi nzima!
Sifa ya mwenyekiti ni PhD na Katibu ni MA ili kuepusha "akili ndogo" kutawala "akili kubwa!"
 
Kwanza niwapongeze wachangiaji kwa kutambua uwepo wa ACT na kuipa promo,kwa Tanzania ya sasa inahitaji chama kinachojali maslahi ya wanyonge kama ACT.

kuuliza swali kuwa Zitto na Dr.Kitila wataweza kuleta mabadiliko kwa vitendo ni kujitoa ufahamu.

uadilifu wa Zitto ni wa kupigiwa mfano,ni Mbunge pekee aliepinga posho kwa maneno na vitendo.

Ndio mbunge pekee ndani ya Bunge la katiba na Bunge la Jamhuri asiepokea posho.


Kiukweli kama Zitto atajiunga na ACT basi chama hiki kitaungangwa mkono na watanzania wengi ambao wameshakatishwa tamaa na siasa za Maslahi.

Wacha povu liwatoke lkn ACT tunasonga mbele,nyuma kwetu mwiko.

Acha kutumiwa na Mabepari wanaotumia kodi zetu kwenda kutanua Dubai,

Vua gamba ,vua gwanda ,uvae uzalendo.

Kweli kabisa ndugu siasa za nchi yetu zimevamiwa na mabepari wa dubai wanaotaka kujiongezeya utajiri kupitia vyama vya siasa namini wAtaitangaza wenyewe haturudi nyuma hacha waongee maneno yao hayatukatishi tamaa tunangu ya wananchi

Vuwa gamba vuwa gwanda vaa uzalendo
 
Chama chochote cha siasa kikianzishwa na malengo yake ni kupingana na chama Kikuu cha upinzani nchini wala usipoteze muda wako kukiamini.
Hicho ni chama cha ccm kimevaa mwamvuli wa ACT ukitoa mwamvuli ndani yake utakutana na ccm pure.
 
Nikuweleze tu mwaka 2000 chama cha cuf kilikuwa kinawaita cdm ni ccm b sasa cdm kinawita cuf ccm b hapo sishangai kwa maneno yenu hayo mnayo bwabwaja namini chama chenye sera inayo kubalika ndio kitakuwa na uwaminifu kwa wananchi ndio kitakuwa juu
Uzalendo ni muimu sana kwa nchi yetu

Vuwa gamba vuwa gwnda vaa uzalendo
Viva act viva
 
Hujui chochote wewe, uko ktk mambo ya honey(asali) wakati sisi tuko kwenye operation pambana na Chadema.
Kakojoe ulale wewe, mambo ya asali kaa nayo wewe na wajinga wako sisi tunapambana na Chadema haswa
ACT-Tanzania chama makini kupambana na Chadema TU

Duh! Kumbe alimanisha ASALI ? Kweli Za kuambiwa changanya na za Kwako.
 
Mnaoshindwa na mnaotendewa vibaya.na msiolidhika na mienendo ya vyama vyenu rudini nyumbani CCM tujenge taifa letu.
 
CHADEMA WAZIDI KUMPIGIA MAGOTI ZITTO
KABWE AMBAYE WALIMUITA MSALITI NA
MUHAINI::::Chama Cha Demokrasia na
maendeleo Chadema, kimekuwa katika mikakati
ya siri ya kukutana na Mh.Zitto ili wakutane
katika mazungumzo ya kukinusuru Chama
ambacho kinaendelea kupotea katika ramani ya
siasa za Tanzania.Kwa nyakati tofauti viongozi
wa Chadema taifa wamekuwa wakiwaagiza watu
walioko karibu na Zitto ili wafanye mazungumzo
na yaishe. Lakini Zitto amekataa kukutana na
Mbowe kwani ikumbukwe Mbowe na kundi lake
walimuita Zitto kwa majina mengi. Wapo
waliomuita Zitto ni msaliti,muhaini na wengine
wenye midomo mikubwa walisema Zitto aliuza
majimbo ya Chadema. Sasa kipindi Zitto anauza
majimbo,wao viongozi wa Chadema taifa
walikuwa wapi? au walishirikiana wote kuyauza?.
Wengine wakaenda mbali zaidi wakasema kuwa
Zitto ni mbunge wa Mahakama na kusahau Zitto
ni mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mbowe akasema hatumuangalii mtu usoni bali
Chama. Dr. Slaa akasema Zitto si Chochote na
ana makosa ya kisayansi.Sasa leo Zitto msaliti
anaonekana mtu muhimu ndani ya Chadema?
Tena MM MSALITI leo muhimu ndani ya
Chadema,Kweli sasa Chadema yaanza kulamba
matapishi.
R.I.P CHADEMA.
KARIBU ACT-TANZANIA TAIFA KWANZA.

Ww chawote tu, ukiona post inamashiko ww ndo unarusha yako, unajua kbs ukianzisha yk hupa hata wawil pumbafu jibu hoja sikukurupuka km kukuanabakwa,
ACT ni ccm maana tunaona maccm wanakisifia kwl
 
Kitila na udaktari wake hayo maswali hawezi kuyajibu!!
 
Back
Top Bottom