Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

act=ccm,hakuna jipya hapo zaidi ya kuchuma mapesa ya tiss
 
In short i hate politics...Hawa ni matapeli wengine in making
 
Kuna kipindi niliona sio sahihi kuwafukuza cdm hila kwa hili kweli ilikuwa misaliti hii imechukua fedha za ccm


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
chadema haikurupuki kufanya maamuzi, baada ya uchunguzi wa kina wa wasaliti na kubaini wanatumia rasilimali za chama kuanzisha chama kingine ilikuwa inafanywa timing tu kuwatimua, ulipopatikana waraka wa siri ikawa ndio tiketi ya kuwaondoa
 
clarify your argumment mkuu
Hicho ni kipande cha waraka wa usaliti wa Zitto... Rejea utapata undani. Pia soma waraka wa kitila na Mwigamba kisha jiulize zitto amepunguza ukaribu na viongozi wa serikali kama alivyoagizwa na betrayers?

Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge. source: waraka wa kupindua CHADEMA
 
Umekosea kidogo....Tangu mwaka 2008 ZITTO ALIPOONYESHA NIA YA KUGOMBEA UENYEKITI WA CHAMA mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na WAMILIKI WA CHADEMA, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa ATAWANYANG'ANYA UMILIKI WA CHAMA, UPANGO UKAFANYWA NA WAMILIKI HAO...AKAUNDIWA ZENGWE NA MENGINE NI HISTORIA.
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge. Source: waraka wa pindua chadema by kitila na mwigamba
Je, amepunguza ukaribu na viongozi wa serikali kama alivyoshauriwa na wasaliti wengine?
 
Back
Top Bottom