Unaingia na majib halaf unakuta paper nyingine..unapagwa ...una fail..Nitafanyaje mkuu na umeingia uwanjani na matokeo yako mfukoni.?
Huu mchezo form 4 chemistry 2 nilikula bingo..form 6 physic 3 niliingia chaka mbaya.Usinikumbushe enzi ya shule, zile za kudanganyana paper ime leak, mnaanza kumeza vitu OP, mkiingia kwa exam mnakuta vitu ni mbingu na ardhi.
Mr right nilishampataga ana kila kitu baada ya miez mi 2 kujuana aliniomba nipeleke baadhi ya vitu vyangu kwake ili nikienda nisipate shida nilishangaa nikamkumbatia kwa hisia akaduwaa akaniambia Mimi ni Mr right niambie nini sijafanya unataka nikufanyie
Nitabeba pochi yako nitakupigia ata nikiwa busy utakuja kwangu mda wowote nitakushika mkono tukitembea.
Yaan hakuwa na kasoro Robinhard wangu sikupeleka nguo kwake alinunua mwenyewe kuanzia chupi mbaka mafuta nnayotumia na machanuo juu.. funguo ya nyumba yake alinionyesha inakaa wapi so mda oote nlikua huru kwenda.
Sikuwai gombana nae upuuz eti cjui ujantafuta toka asubuh Mara cjui cm inatumika usiku Mara oh ameenda mbagala ajantaarifu..hakua ivo.
Robinhard ni gantle sana tukitembea anabeba mkoba wangu nikiangusha kitu tukiwa njian ni yeye atawai kuinama aokote si mnajua wadada tunapenda mambo madogomadogo yaan..ni yeye alinifundisha kupenda nilijua upendo kupitia yeye.
Siku ya kwanza kulala kwake wala hatukusex tuliongea mambo yetu mengine mbka tukapitiwa na usingiz asubuh nkamuuliza mbona hukunisumbua akanambia Mimi ni mwanaume Mr right nikacheka sana.
Akanambia sitadai sex kwako siku ukiwa tayar niambie ukishindwa nitext "am ready" .
Jaman Robinhard tumekosana imepita miezi 4 sasa anataka nibebe mimba ndo aje kwetu mengine yafate yaan amenivuruga hatuwasiliani last time kanitext kasema ukiwa tayar umekubaliana namimi niambie nakusubir, mm cwez jaman nimekuzwa kimaadili walionilea wanategemea mazur kwangu.
Dahhhh! Hapo tu jamani si akuelewe basiii! Hongera sana mamy na jitahidi usizubae akaweka ndani mwingine.
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, I got your point here Mr. Rrondo!! Lakini hudhani kwamba you're acting that way sababu bado penzi jipya? Una hakika hutotenda kama ulivyotenda awali, means hutomaliza uhusiano kwa kuwa bad guy?Kwa niliye naye sasa hivi I'm more than Mr Right, anashangaa kama kama unavyoshangaa Carleen kwamba tupo?!🙂🙂🙂🙂
Kamuulize ex wangu atakwambia I'm the worst man ever! I hope umepata kitu.
Ndiyo mkuu, hilo ndiyo la muhimu.!Hata kwetu wapo...cha msingi ukubalike ulivyo..yaani huyo mwanamme akupende kwa dhati ya moyo wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
How I feel it Christina George,Mr right nilishampataga ana kila kitu baada ya miez mi 2 kujuana aliniomba nipeleke baadhi ya vitu vyangu kwake ili nikienda nisipate shida nilishangaa nikamkumbatia kwa hisia akaduwaa akaniambia Mimi ni Mr right niambie nini sijafanya unataka nikufanyie
Nitabeba pochi yako nitakupigia ata nikiwa busy utakuja kwangu mda wowote nitakushika mkono tukitembea.
Yaan hakuwa na kasoro Robinhard wangu sikupeleka nguo kwake alinunua mwenyewe kuanzia chupi mbaka mafuta nnayotumia na machanuo juu.. funguo ya nyumba yake alinionyesha inakaa wapi so mda oote nlikua huru kwenda.
Sikuwai gombana nae upuuz eti cjui ujantafuta toka asubuh Mara cjui cm inatumika usiku Mara oh ameenda mbagala ajantaarifu..hakua ivo.
Robinhard ni gantle sana tukitembea anabeba mkoba wangu nikiangusha kitu tukiwa njian ni yeye atawai kuinama aokote si mnajua wadada tunapenda mambo madogomadogo yaan..ni yeye alinifundisha kupenda nilijua upendo kupitia yeye.
Siku ya kwanza kulala kwake wala hatukusex tuliongea mambo yetu mengine mbka tukapitiwa na usingiz asubuh nkamuuliza mbona hukunisumbua akanambia Mimi ni mwanaume Mr right nikacheka sana.
Akanambia sitadai sex kwako siku ukiwa tayar niambie ukishindwa nitext "am ready" .
Jaman Robinhard tumekosana imepita miezi 4 sasa anataka nibebe mimba ndo aje kwetu mengine yafate yaan amenivuruga hatuwasiliani last time kanitext kasema ukiwa tayar umekubaliana namimi niambie nakusubir, mm cwez jaman nimekuzwa kimaadili walionilea wanategemea mazur kwangu.
Na mzidi kubarikiwa daima mahondaw, kila lenye kheri ikatembee nanyi daima.!Smart911 is and always will be. He's the kind of man every woman would like to have labda huyo mwanamke awe na matatizo tu. For sure he's the right one.
May endless blessings flows upon him my sweetlove
Sent using Jamii Forums mobile app