Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Yani jinsi navoishi na kumfanyia huyu bidada,hadi mwenyewe kakiri na kusema "Daah upo tofauti Sana"Heshima,busara,kujali hata kama huna pesa ukaweka ushirikiano,ukamgusa vzr kunako,ukaficha ukali wote,Mwanamke lazima akuelewe sn
 
Kwa ushauri wangu tafuta pesa ziwe nyingi nyingi halafu deal na ben 10 yaan utamcontroll unavyotaka akufanyie unaweza hata kumpiga viboko (tuliona kwa Shilole na Nuh Mziwanda, lol) na asikimbie bado akakufata wewe tu.

Tofauti na hapo uwe unataka Mr. Right yaan akuhonge na bado akufanyie utakayo utachina.

Tafuta movie inaitwa MR. RIGHT hope utajifunza mengi kupitia humo.
 
Yani jinsi navoishi na kumfanyia huyu bidada,hadi mwenyewe kakiri na kusema "Daah upo tofauti Sana"Heshima,busara,kujali hata kama huna pesa ukaweka ushirikiano,ukamgusa vzr kunako,ukaficha ukali wote,Mwanamke lazima akuelewe sn
Hongera sana Mkuu..
 
Hahaaa,
Yeah Mr. Right nimeitazama Mkuu..
 
Hongera sana Mkuu..
Asante, nadhani ndo nipo hivo.Sijui kumnyanyasa Mwanamke.Hata nilioachana nao ni wao wenyewe walijipima ktk mizani wakakaa pembeni au nilisitisha kujali afya yangu na huwa wanapata shida na kuomba turudiane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom