Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Asante, nadhani ndo nipo hivo.Sijui kumnyanyasa Mwanamke.Hata nilioachana nao ni wao wenyewe walijipima ktk mizani wakakaa pembeni au nilisitisha kujali afya yangu na huwa wanapata shida na kuomba turudiane.
Endelea na moyo huo. Kuna baraka katika kumuheshimu mwanamke!!
 
Endelea na moyo huo. Kuna baraka katika kumuheshimu mwanamke!!
Ndo nipo hivo.Nahisi ndo maana huyu dada friend niliye naye anapagawa na Ku enjoy sn.Mfano ni wakat wa tamu Yani mpaka anafika hatua ya mwisho kabisaaa ya raha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom