Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Swali kwa dadaz wa humu jukwaani

Hi Guyz,

Sijui hata nlikuwa nawaza nini nimejikuta naomba kujibiwa haka kaswali, We all knows kuna this imagination za sijui 'Mr. Right mara Nice Guy' and all blah blah blah, Just wish to know kama kweli huku kwa dunia halisi do they really exist?

Lady, have you ever met the guy who treated you the way you were dreaming to be treated?

Jinsia Me najua kila anayekuja humu huwa anajisfia anajua kuhandle sijui anajua kusimamia show na misifa kibao, Natamani niskie kutoka kwa Wadada kama kweli hao viumbe wanaotoweka kwa kasi je wapo kwa huu ulimwengu!?

Au Me wanaojinadi humu wanatoka sayari nyingine

Was just wondered
Ukimpata yule yule uliyemuota ujue ndoto zako hazikuwa ambitious sana.

Yani ulitakiwa ujiongeze katika kuota.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Ukimpata yule yule uliyemuota ujue ndoto zako hazikuwa ambitious sana.

Yani ulitakiwa ujiongeze katika kuota.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Unluckily nilipata bonge ya challenge mpaka akili ikanikaa sawa.!
What about that?
 
Unluckily nilipata bonge ya challenge mpaka akili ikanikaa sawa.!
What about that?
Challenge si ajabu.

Ila usi waste a challenge if you can use it to grow.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Usikubali utalia jua la mchana kutoka chozi watu wajue jasho, Kama anakupenda kweli akupose mfunge ndoa
Mr right nilishampataga ana kila kitu baada ya miez mi 2 kujuana aliniomba nipeleke baadhi ya vitu vyangu kwake ili nikienda nisipate shida nilishangaa nikamkumbatia kwa hisia akaduwaa akaniambia Mimi ni Mr right niambie nini sijafanya unataka nikufanyie
Nitabeba pochi yako nitakupigia ata nikiwa busy utakuja kwangu mda wowote nitakushika mkono tukitembea.

Yaan hakuwa na kasoro Robinhard wangu sikupeleka nguo kwake alinunua mwenyewe kuanzia chupi mbaka mafuta nnayotumia na machanuo juu.. funguo ya nyumba yake alinionyesha inakaa wapi so mda oote nlikua huru kwenda.
Sikuwai gombana nae upuuz eti cjui ujantafuta toka asubuh Mara cjui cm inatumika usiku Mara oh ameenda mbagala ajantaarifu..hakua ivo.
Robinhard ni gantle sana tukitembea anabeba mkoba wangu nikiangusha kitu tukiwa njian ni yeye atawai kuinama aokote si mnajua wadada tunapenda mambo madogomadogo yaan..ni yeye alinifundisha kupenda nilijua upendo kupitia yeye.
Siku ya kwanza kulala kwake wala hatukusex tuliongea mambo yetu mengine mbka tukapitiwa na usingiz asubuh nkamuuliza mbona hukunisumbua akanambia Mimi ni mwanaume Mr right nikacheka sana.
Akanambia sitadai sex kwako siku ukiwa tayar niambie ukishindwa nitext "am ready" .
Jaman Robinhard tumekosana imepita miezi 4 sasa anataka nibebe mimba ndo aje kwetu mengine yafate yaan amenivuruga hatuwasiliani last time kanitext kasema ukiwa tayar umekubaliana namimi niambie nakusubir, mm cwez jaman nimekuzwa kimaadili walionilea wanategemea mazur kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangu naweza Kili he was more than Mr Right nilipata upendo wote niliotafuta nyuma, alinipatia vitu sikuwa nimeomba Yani ushawahi kuwa na Ile feelings"[emoji3059][emoji3059]" muda wote giggles ukikaa unawaza Mungu kanikumbuka maana Nina experience ya worst relationship back then. Unfortunately since November amekuwa busy pamoja na kuongezeka kwa majukumu ya kazi mpya basi ni kimya mpaka nimchokoze na hakuna hamshahamsha Kama zamani [emoji17], too bad last week nilimuuliza Kama umeamua kuachana na Mimi niambie...guess wat HAJAJIBU MPAKA SAA HII
Free soul- grace matata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mr right nilishampataga ana kila kitu baada ya miez mi 2 kujuana aliniomba nipeleke baadhi ya vitu vyangu kwake ili nikienda nisipate shida nilishangaa nikamkumbatia kwa hisia akaduwaa akaniambia Mimi ni Mr right niambie nini sijafanya unataka nikufanyie
Nitabeba pochi yako nitakupigia ata nikiwa busy utakuja kwangu mda wowote nitakushika mkono tukitembea.

Yaan hakuwa na kasoro Robinhard wangu sikupeleka nguo kwake alinunua mwenyewe kuanzia chupi mbaka mafuta nnayotumia na machanuo juu.. funguo ya nyumba yake alinionyesha inakaa wapi so mda oote nlikua huru kwenda.
Sikuwai gombana nae upuuz eti cjui ujantafuta toka asubuh Mara cjui cm inatumika usiku Mara oh ameenda mbagala ajantaarifu..hakua ivo.
Robinhard ni gantle sana tukitembea anabeba mkoba wangu nikiangusha kitu tukiwa njian ni yeye atawai kuinama aokote si mnajua wadada tunapenda mambo madogomadogo yaan..ni yeye alinifundisha kupenda nilijua upendo kupitia yeye.
Siku ya kwanza kulala kwake wala hatukusex tuliongea mambo yetu mengine mbka tukapitiwa na usingiz asubuh nkamuuliza mbona hukunisumbua akanambia Mimi ni mwanaume Mr right nikacheka sana.
Akanambia sitadai sex kwako siku ukiwa tayar niambie ukishindwa nitext "am ready" .
Jaman Robinhard tumekosana imepita miezi 4 sasa anataka nibebe mimba ndo aje kwetu mengine yafate yaan amenivuruga hatuwasiliani last time kanitext kasema ukiwa tayar umekubaliana namimi niambie nakusubir, mm cwez jaman nimekuzwa kimaadili walionilea wanategemea mazur kwangu.
Mh huo ni mtihani mkubwa. Ila km anachosema ni cha uhakika zaidi bs beba. Ila km sio nakushauri usibebe. Usibebe mimba kabla ya ndoa ata km yuko right vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanaume wanaojua kubonyeza the right key kwa mwanamke tho ni wachache na kama vile wanawake weusi wanavyozidi kupungua na hawa nao wa nazidi kupotea sana, nafikiri serikalini iweke ulinzi kamili kwa hawa watu kama inayofanya kwa faru na wa nyama wengine walioadimika [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom