amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 713
Sasa hayo mapenzi au biashara? Umeona 2m nyingi, wenzako wanahonga majumba. Doroo.Kwa hiari? acheni kuturoga muone kama tutafanya hivyo. Mna dhambi kubwa sana nyie na hao sangoma wenu
Sasa hayo mapenzi au biashara? Umeona 2m nyingi, wenzako wanahonga majumba. Doroo.Kwa hiari? acheni kuturoga muone kama tutafanya hivyo. Mna dhambi kubwa sana nyie na hao sangoma wenu
🤣🤣🤣🤣Umewaza mbali umetaja vitu muhimu sanaNitamuambia tukapime ngoma ,kama yupo fresh nitamwambia anioneshe mzigo kama upo size fresh naingia mzigoni bao mbili sio mbaya
Kwa akili yako una fikili kila mwanamke ukiweka pesa ana tamanii million 2 umeona pesa nyingi labla kwa wasio jua kutafuta pesa.Hakuna mwanamke wakukataa hilo dau JF hii
🤣🤣🤣Kupania gemu mwisho huwa mna kufa kipopoma sana acheni ku buti.Siwezi kutoa hela yangu halafu nipige show ya kitoto, nitahakikisha mtu anakimbia na chupi mkononi, au anaisahau kabisa. Nikiona dalili ya kuchemka natafuta hata vumbi la mkongoman nalipiga kwanza.
Hakuna haja ya kondomu. mnapima afya kwanza kabla ya kulalana.Nazipokea ila kabla ya yote namwambia twende pharmacy tukanunue ndomu..
Ila bana thamani yangu ni zaidi ya hiyo 2m.
You are not selling your dignity rather you are helping a friend.I hate selling my dignity..
HatarioussWanawake wadhaifu Sana katika pesa,narudia Tena wadhaifu mnooo,Mimi Nina pesa na nalijua Hilo,nimeshakula Sana celebrities wa bongo,humu jf hakuna mwanamke wa kukataa hiyo hela
Akitoka hapo ataitwa millionare.Bora wewe umesema ukweli. Kuliko Hawa wanaojishebedua kuwa 2 milions Ni kidogo .
Tena kabla hajaingiza unahakikisha umemfanyia madoido kweli kweli akiweka na kupata ile joto faster anatapika. 2 milions ushatia mfukoni
Kabla hatujafika kwenye vipimo namrudishia pesa zakeHakuna haja ya kondomu. mnapima afya kwanza kabla ya kulalana.
Hela yote hiyo ili ugundue nini ?Basi tufanye milioni 20 kwa bao 2, yaani kila bao milioni 10 hapo vipi bibie?
Weka ushahid hadharaniAcha uongo hakuna mwanamke anayekataa pesa,nina ushahidi wa kutosha kuhusu neno pesa kwa jinsia ya kike
Mwanamke gani anayejua kutafuta pesa JF hii Mpaka 2m iwe hela ndogo kwake??..Kwa akili yako una fikili kila mwanamke ukiweka pesa ana tamanii million 2 umeona pesa nyingi labla kwa wasio jua kutafuta pesa.
Et unakopwa papuchi daaaa kumbe kuna wengne wanatoa kwa mkopoMwanaume anakujia na maneno mengiii, ooh nakupenda na blah blah zingine kibao ila mwisho wa siku unakopwa papuchi na stress juu.
Si ndio hapo . Bao moja ndio likukoseshe milion 2. Kweli ??Hebu weka mpunga mezani Na kipimo cha HIV mkuu.bao lenyewe moja
Tunakisubiri hapa hapaYaani kwa kweli huu uzi umenikumbusha kisa kimoja Kilinitokea zamani mno, nilikua chuo enzi hizo.
Nikitulia nitakisimulia hapa ila ni maMbo haya haya..Dah, nilishasahau
JiraniMkuu tafadhali sana kwa nini unatusemea? Hakuna? Yaani unamaanisha kwa uhakika kabisa kwamba hakuna??
We umewaezaje mwanamke achindwe tatizo labla umezoea kununua wanawake wanao uza mwili huko ina maana wewe mwanaume mwenzio akija na million 2 una kwichi sio.Mwanamke gani anayejua kutafuta pesa JF hii..
Acha kutupiga kamba
Si unajua kwa mwanaume raha yake kumwaga uji hata ikiwa taco moja.Hata wa tako mbili huwa wanajiona wamepiga show ya kibabe.
Hivi vitoto huwa vinahangaika sana humu jfSasa hayo mapenzi au biashara? Umeona 2m nyingi, wenzako wanahonga majumba. Doroo.
Si A piaBasi ni A .Ni Free manson