Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Kwako mrembo /dada wa jf fikiria anatokea mwanaume out of blue, anakwambia "Chukua hii shillingi millioni mbili za kitanzania halafu tufanye mapenzi.

Utachukua uamuzi gani


********************************


Ladies, a random guy walks up to you and says "Take this 2 millions and have sex with me"

Whats your reaction?
Huu ni ukweli siwezi ml 2
A. Je kama ni freemason au nijini.
B. Je kama sio mzima
I mean ni kazi.
 
Yaani ww mkuu kila nikiona ID yako nakumbuka tu JF ilivyotekwa kipindi kile maana mi ilinizimikia nikiwa nasoma profile yako.
Nitamuambia tukapime ngoma ,kama yupo fresh nitamwambia anioneshe mzigo kama upo size fresh naingia mzigoni bao mbili sio mbaya
 
1, weka hati ya Nyumba mezani, au kiwanja cha maana amacho nikiuza sijutii.

2, jibu: twende kupima HIV

3, Naangalia Usafi wa mwili wako kwa ujumla. Tofauti na hapo naweza kataa

4, ntasema Mungu nisamehe tu sina namna.😀😀😀😀

Note: ukifa kwa Maji, basi kufa ziwa Victoria na sio ndo moja ya Maji.
 
1, weka hati ya Nyumba mezani, au kiwanja cha maana amacho nikiuza sijutii.

2, jibu: twende kupima HIV

3, Naangalia Usafi wa mwili wako kwa ujumla. Tofauti na hapo naweza kataa

4, ntasema Mungu nisamehe tu sina namna.

Note: ukifa kwa Maji, basi kufa ziwa Victoria na sio ndo moja ya Maji.
At the same time uwe unangara ngozi kama cleopatra lakini..
 
1, weka hati ya Nyumba mezani, au kiwanja cha maana amacho nikiuza sijutii.

2, jibu: twende kupima HIV

3, Naangalia Usafi wa mwili wako kwa ujumla. Tofauti na hapo naweza kataa

4, ntasema Mungu nisamehe tu sina namna.

Note: ukifa kwa Maji, basi kufa ziwa Victoria na sio ndo moja ya Maji.
Mwaka mzima unaweza kuta hujaongwa hata laki moja. halafu mtu akupe million 2 cash. Utakataa kweli...
 
A u sure? Wengine utu ni kitu no moja, na kumbuka mwanamke anaweza kukupa bure, so long as kuna upendo, ila hayo ya kuweka dau, business is business
Utu upo ndio..ila when it comes to money kila mtu anazitaka,,ni wachache sana wanaoweza kukataa.
 
Back
Top Bottom