Swali kwa dada zangu wa JF

Swali kwa dada zangu wa JF

Kwako mrembo /dada wa jf fikiria anatokea mwanaume out of blue, anakwambia "Chukua hii shillingi millioni mbili za kitanzania halafu tufanye mapenzi.

Utachukua uamuzi gani


********************************


Ladies, a random guy walks up to you and says "Take this 2 millions and have sex with me"

Whats your reaction?
Binafsi siwez kukubali unless niwe nimeridhia tu mwenyewe kufanya..thamani yangu haiwez lingana na ya pesa,,
 
Million tano hata kijumba hujengi. Aah wapi. Ndogo hyo. Unaweza ukapata migonjwa ukaitibu zaid ya hyo million 5

Usalama unahakikishiwa ..ila hizi ni kelele za mtandaoni tuu tukikutana uko mitaani ata dau la iphone x halifiki
 
Bongo hakuna anaeweza kukataaa aisee... yanii unagongaa unaemtakaaa
 
Back
Top Bottom