Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Kama baba muislam amefariki na ameacha mke, watoto wawili wa kiume, watoto wawili wa kike na wazazi wake wote wawili mgawanyo ni kama ifuatavyo
$100,000,000
Baba atapata 1/6 ambayo katika $100,000,000 ni $16,666,666.666
Kwenye $100,000,000 inamaana tayari zimebaki $83,333,333.334
Mama anapata 1/6 ambayo katika $83,333,333.334 ni $13,888,888.889
Kwenye $83,333,333.334 tayari zimebaki $69,444,444.445
Watoto wa kiume wanapata 2/6 ambapo katika $69,444,444.445 ni sawa na $46,298,298.296
Inamaana kwenye $69,444,444.445 zimebaki $23,148,148.149

Kwa maana hiyo baba atapata $16,666,666.666
Mama atapata $13,888,888.889
Watoto wa kiume @ $23,148,148.149
Na watoto wa kike @ $11,574,074.0745.
Nimeeleweka??
kwa kweli inaeleweka barabara. Watoto wa kike wanagawana kinachobaki baada ya warithi (katika mfano huu) wengine kupata chao. Ikiwa ni mali nyingine (non-monetary), inaweza kuwa mtihani kugawanyisha, au utaratibu upo wa namna ya kugawa? - say ni nyumba moja, kwa mfano.
 
kwa kweli inaeleweka barabara. Watoto wa kike wanagawana kinachobaki baada ya warithi (katika mfano huu) wengine kupata chao. Ikiwa ni mali nyingine (non-monetary), inaweza kuwa mtihani kugawanyisha, au utaratibu upo wa namna ya kugawa? - say ni nyumba moja, kwa mfano.

Kama ni nyumba moja inakuwa ya wote, zikiwa mbili moja inakuwa ya watoto wa kike na moja ya watoto wa kiume. Na hiviunajua kwanini mtoto wa kiume anapata zaidi?
 
kwa kweli inaeleweka barabara. Watoto wa kike wanagawana kinachobaki baada ya warithi (katika mfano huu) wengine kupata chao. Ikiwa ni mali nyingine (non-monetary), inaweza kuwa mtihani kugawanyisha, au utaratibu upo wa namna ya kugawa? - say ni nyumba moja, kwa mfano.
Nyumba au gari au shamba au mali yoyote isiokuwa pesa,inapigwa thamani na kuuzwa,kinachopatikana ndio wanagawana,kama mgao unavyotajwa kisheria
 
HAKUNA MAHAKAMA YA KADHI KATIKA QURAN.......kwani mahakama ni nini.....nijuavyo ni chombo cha kufasiri sheria.Na sheria alizoziweka ALLAH zipo.kwa hiyo mahakama ni kufasiri tu
 
Katika mgao kuna kutoa hakuna kujumlisha,na mara nyingi na ndivyo inavyotokea,urithi unapogaiwa,sio wote waliotajwa kugaiwa wanaweza kuwa hai au kutakukuwa na kikwazo kinachomzuia mtu kupata mirathi.Kwa mfano baba kafa,kuna mtoto wake alikufa kabla kufa yeye,huyu mtoto aliyekufa mapema kabla ya kufa mzazi wake,wanawe hawezi kupata mirathi,na zipo sababu tofauti tofauti za kukuosa mirathi,kwa mujibu wa sheria za mirathi za uislamu.
The one who is receiving is adding and not subtracting as you construed above. Allah's formula is slippery slope.
 
Ishmael. Jibril hakuwa akimuombea mtume Muhammad (S.A.W) yeye kazi yake ilikuwa ni kupeleka wahyi tu. Soma ibara ya kwanza.
From Ibn Sa'd page 265

The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."

If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.

Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?


 
Mwanamke hawezi kuwa kadhi kwa sababu "kadhi" ni neno lionaloashiria mwanamme.

Mwanamke anaweza kuwa kinyume chake.
From Ibn Sa'd page 265

The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."

If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.

Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?

 
Mimi naona mantiki ya hoja yako lakini nataka kuelewa zaidi. Hebu tusaidie, kugawa say $100,000,000 kwa kutumia utaratibu wa kiislamu katika kugawa mirathi. Let's say baba muislamu amefariki na kuacha mke mmoja, watoto wa kiume wawili, watoto wa kike wawili, na wazazi wake wote wawili.

Pitia hapa imeelezewa vizuri kabisa: Response by Khalid
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Umejibu kwa busara na kwa dhana halisi ya mahakama ya kadhi lakini ukweli utabaki pale pale ya kwamba HAIWEZEKANI na HAITAWEZEKANA kuanzisha mahakama ya kadhi nchini, Tanzania kutokana na msingi wa katiba yake inayotamka wazi kwamba "Serikali haina Dini"

Umeyataja na inafahamika wazi kwamba mambo ambayo mahakama ya kadhi inashughulika nayo kuwa ni NDOA, TALAKA, MIRATHI NA WAKFU. Ukifatilia historia na misingi ya uislamu kwa kina kwa kutazama hayo mambo manne ni dhahiri ni ya KIONEVU na KIBAGUZI hususani kwa mwanamke kitu ambacho tayari kinakiuka HAKI ZA BINADAMU.

Subirini hadi waje viongozi MAJUHA ambao watapindua katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kuruhusu Mahakama ya kadhi kutambuliwa kikatiba. Hapo mtakuwa na nguvu kisheria ya kuidai na kuipigania lakini SIYO SASA!

Kama unaongeleza Tanzania, mahakama ya kadhi ipo tayari - kumbuka hilo

Unaongelea sharia iliyompa haki mwanamke miaka 1400 iliyopita wakati hakuna sheria iliyompa haki kabla ya hapo.
 
From Ibn Sa'd page 265

The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."

If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.

Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?




Qur'an 3:185


3_185.png

Sahih International
Every soul will taste death, and you will only be given your [full] compensation on the Day of Resurrection. So he who is drawn away from the Fire and admitted to Paradise has attained [his desire]. And what is the life of this world except the enjoyment of delusion.
 
The one who is receiving is adding and not subtracting as you construed above. Allah's formula is slippery slope.
Kuwa na akili anayetoa hajumlishi,anayepokea ndio anajumlisha,hapa tunaongelewa kugawa kwa kutoa.
Wagalatia vipi elimu imewapita pembeni,tuwafundishe pia kutoa na kujumlisha.
Mfano:Nina machungwa kumi,nataka kuwagaia watoto watano,kila mmoja nitampa machungwa mangapi
10÷5=2
Kwa hiyo nikimpa wa kwanza machungwa mawili inakuwa:
10-2=8
8-2=6
6-2=4
4-2=2
2-2=0
 
Dada Faiza, hapo umeondoa utata wote. MASHAALLAH!! Hapo asieelewa hataki kuelewa.
 
Mwanamke hawezi kuwa kadhi kwa sababu "kadhi" ni neno lionaloashiria mwanamme.

Mwanamke anaweza kuwa kinyume chake.

Mimi napata Darsa hapa. Kinyume cha kadhi ni nini na umesahau kuniambia maana ya neno WAKFu. Kuna siku nilimsikia Lipumba akisema mali ya WAKFU haipaswi kuuzwa vile. Nielekeze
 
Mimi napata Darsa hapa. Kinyume cha kadhi ni nini na umesahau kuniambia maana ya neno WAKFu. Kuna siku nilimsikia Lipumba akisema mali ya WAKFU haipaswi kuuzwa vile. Nielekeze

Kwa kifupi, wakfu ni mali (hususan assets) aliyotowa Muislam kuuwachia msikiti, naam, haipaswi kuuzwa.

"Kadhiyat".
 
Qur'an 3:185


3_185.png

Sahih International
Every soul will taste death, and you will only be given your [full] compensation on the Day of Resurrection. So he who is drawn away from the Fire and admitted to Paradise has attained [his desire]. And what is the life of this world except the enjoyment of delusion.
MY ARGUMENT:
WHY DID GIBRIL NOT KNOW THE WILL OF ALLAH? WHY WILL GIBRIL PRAY TO MUHAMMAD IF ALLAH HAD DECIDED DEATH?

Can you trust Jibril?


  • From Ibn Sa'd page 265

    The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."

    If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.

    Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?






 
MY ARGUMENT:
WHY DID GIBRIL NOT KNOW THE WILL OF ALLAH? WHY WILL GIBRIL PRAY TO MUHAMMAD IF ALLAH HAD DECIDED DEATH?

Can you trust Jibril?


  • From Ibn Sa'd page 265

    The apostle of Allah fell ill and he i.e. Gabriel, chanted on him, saying, "In the name of Allah I chant on to ward off from you every thing that harms you and (to ward off you) against every envier and from every evil eye and Allah will heal you."

    If you believe that it was God's will for Muhammad to have eaten the poison, along with Bishr, why then did Muhammad try to get well? Even Gabriel prayed for Muhammad to get better, but Allah didn't answer that prayer either.

    Why did Gabriel not know the will of Allah? Why would Gabriel pray if Allah had decided death?







Hiyo ni kwasababu Muhammad ni binaadamu kama kama binaadam wengine. Na hakuna kiumbe chochote kijuacho Allah amekipangia nini juu yake.
 
Hiyo ni kwasababu Muhammad ni binaadamu kama kama binaadam wengine. Na hakuna kiumbe chochote kijuacho Allah amekipangia nini juu yake.
Jifunze kusoma kijana.

Kama Jibril hakujua nini Allah anataka, kwanini alimuombea Muhammad uponyaji? Kwanini Jibril alimwombea Muhammad huku akifahamu fika kuwa Allah hakuwa na uwezo wa kumponya?

Je, Jibril alijituma mwenyewe?
Je, tunaweza muamini Jibril anaye fanya kazi ya kujituma?
Kama ni Allah ndie aliye mtuma Jibril, kwanini alishindwa kumponya Muhammad?

Hakika kuna Msiba kwenye Uislam.
 
Back
Top Bottom