Kama baba muislam amefariki na ameacha mke, watoto wawili wa kiume, watoto wawili wa kike na wazazi wake wote wawili mgawanyo ni kama ifuatavyo
$100,000,000
Baba atapata 1/6 ambayo katika $100,000,000 ni $16,666,666.666
Kwenye $100,000,000 inamaana tayari zimebaki $83,333,333.334
Mama anapata 1/6 ambayo katika $83,333,333.334 ni $13,888,888.889
Kwenye $83,333,333.334 tayari zimebaki $69,444,444.445
Watoto wa kiume wanapata 2/6 ambapo katika $69,444,444.445 ni sawa na $46,298,298.296
Inamaana kwenye $69,444,444.445 zimebaki $23,148,148.149
Kwa maana hiyo baba atapata $16,666,666.666
Mama atapata $13,888,888.889
Watoto wa kiume @ $23,148,148.149
Na watoto wa kike @ $11,574,
074.0745.
Nimeeleweka??