Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
TanzaniaLaw aka Ishmael ! pitia hapa1. KULLU NAFSI DHAAIKATUL MAUT................Kila nafsi itaonja umauti, Malaika wakasema Alhamdulillah sisi tumeepukana na umauti eti sababu wao si nafsi bali ni nuru, M/MUNGU akasema tena KULLUMAN ALAYHA FAAN.............Kila kilicho juu ya mgongo wa ardhi kitaondoka, Malaika wakasema tena Alhamdulillah sababu sisi hatuishi duniani sisi kwetu huku juu mbinguni, M/MUNGU akasema tena KULLUSHAINN HALIKUNI ILLAA WAJHAA...................Kila kitu kitaondoka na atabakia mwenyewe mola wenu pekee, Hapo Malaika wakasujudu na kusema umetakasika wewe ambae hufi milele
Hicho ndio kilichomuua Mtume Muhammad (S A.W) kwakua tayari nwenyewe muumba alishasena kila kitu kiumbe kitakufa.
2.Jibril hakuwahi kumuombea mtume asife kwani yeye alikuwa ni mpeleka Wahyi tu. Doma hiyo hapo juu utapata jibu.
3.Katika Uislamu ukumbusho ndio kila kitu na tunakumbushana sana kila siku ila sio juu ya kifo cha mtume pekee bali ni juu ya kifo kwa ujumla. Kwani mtume ni mbora kwa Allah na amekufa je sisi.
4.Kwenye Qur an hakuna tulichofichwa hata kimoja. Qur ani iko wazi na imeongelea kila kitu.
Sasa tatizo lipo kwako wewe ulieambiwa kuwa Yesu amekufa kwa ajili ya dhambi zako wakati hapo hapo ineandikwa kuwa "Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe" kaa chini tafakari.
Last edited by a moderator: