akasigaji kanu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 204
- 55
Kule Somalia tunaona Watu wanapigwa mawe kwa kukamatwa ugoni, msituletee janja ya nyani eti Mahakama ya Kadhi haihusiki na jinai! Hayo maneno matamu matamu eti "mirathi," "ndoa," "talaka" na "wakfu" ni mlango tu wa kuingilia, baada ya hapo tutaona akina "Boko Haramu" wa ki-Tanzania wakiendeleza ule wimbo wa zamani eti "Waislamu tunaonewa" ili kuendelea na Mission ya kuisilimisha nchi!
Mkuu heshima kwako nando wanchokitafuta alfu kwenye kujadili hapa wanakwepesha ukwe:what: