Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Nina swali kuhusu Mahakama ya kadhi! Ina maana kwa Muislamu atakuwa anahudumiwa na hii Mahakama tu na hii Mahakama iamuacho ndiyo mwisho?
Yaani kwa mfano mwanamke anapenda kuachana na mumewe na kwa sababu zake binafsi labda tu amemchoka au sijui kamfumania na wanakwenda Mahakama ya kadhi, je vipi kuhusu haki ya mwanamke kwenye mali? Ni nani anaamua hili? Na je kama sheria ya Kiislamu haitambui kuhusu kugawana mali sasa inakuwaje kwa huyu mwanamke? ina maana Mahakama zetu za JMT haziwezi kuingilia hapo?
Na je Mzazi wa Kiislamu akitaka kumuoza mtoto wake kabla ya kutimiza umri ambao sheria ya JMT imeweka yaani miaka 18, sasa nini kitatokea?
Kwa maana kwa kiislamu hakuna kitu kama umri wa kuoa au kuolewa sasa kama Mahakama ya kadhi ikiamua mtoto wa JMT aolewe ndiyo ataolewa kweli na Serikali ya JMT haiwezi kumuokoa huyu Mtoto?
Yaani kwa mfano mwanamke anapenda kuachana na mumewe na kwa sababu zake binafsi labda tu amemchoka au sijui kamfumania na wanakwenda Mahakama ya kadhi, je vipi kuhusu haki ya mwanamke kwenye mali? Ni nani anaamua hili? Na je kama sheria ya Kiislamu haitambui kuhusu kugawana mali sasa inakuwaje kwa huyu mwanamke? ina maana Mahakama zetu za JMT haziwezi kuingilia hapo?
Na je Mzazi wa Kiislamu akitaka kumuoza mtoto wake kabla ya kutimiza umri ambao sheria ya JMT imeweka yaani miaka 18, sasa nini kitatokea?
Kwa maana kwa kiislamu hakuna kitu kama umri wa kuoa au kuolewa sasa kama Mahakama ya kadhi ikiamua mtoto wa JMT aolewe ndiyo ataolewa kweli na Serikali ya JMT haiwezi kumuokoa huyu Mtoto?