Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Swali kuhusu Mahakama ya Kadhi tafadhali

Kwenye adhabu nyingine sina tatizo isipokua kwenye kutoa uhai wa mtu mwenye haki iyo ni Mungu pekee nasi mwanadamu nando maana mwanadamu anaweza kutibu magonjwa nakufanya vitu vingine nisikurudisha uhai wamtu alokufa hata uhai wasisimizi naviumbe wengine wote mwanadamu hawezi kuurudisha sijui kama umenielewa
Mnyalu Junior hivyo unavyodhani kuwa mahakama ya kadhi inahukumu kuua sio kweli.
Mfano mzuri ZWNZIBAR inayo mahakama ya kadhi. Lakini je ni lini umesikia mtu kahukumiwa kuuawa zaidi ya mirathi na mambo ya ndoa. Hili ni swali langu kwako, nitafutie jibu.
 
There is nothing constructive in the quote, in contrast, why did Allah sent Jibril to pray for Muhammad while knowing he is going to kill him?

Ishmael. Jibril hakuwa akimuombea mtume Muhammad (S.A.W) yeye kazi yake ilikuwa ni kupeleka wahyi tu. Soma ibara ya kwanza.
 
There is nothing constructive in the quote, in contrast, why did Allah sent Jibril to pray for Muhammad while knowing he is going to kill him?
Umehama kwenye mahakama ya kadhi,yaonyesha umebanwa sana,huna hoja tena.
 
Wewe ndio zimeruka. Ungeisoma aya wala usinge mwaga povu hapa.
Katika mgao kuna kutoa hakuna kujumlisha,na mara nyingi na ndivyo inavyotokea,urithi unapogaiwa,sio wote waliotajwa kugaiwa wanaweza kuwa hai au kutakukuwa na kikwazo kinachomzuia mtu kupata mirathi.Kwa mfano baba kafa,kuna mtoto wake alikufa kabla kufa yeye,huyu mtoto aliyekufa mapema kabla ya kufa mzazi wake,wanawe hawezi kupata mirathi,na zipo sababu tofauti tofauti za kukuosa mirathi,kwa mujibu wa sheria za mirathi za uislamu.
 
25 + 25 + 16.666.. = 100
Very good!

Altenativelly,
100 - 25 - 25 = 16.66 ambayo ni sawa na 17
Excellent!

Samahani nilikosea kidogo16.666 ilikuwa ni 16.666x2 = 33.333 ambayo ni sawa na 2/3 kwenye 50.
 
mahesabu ya mgawanyo wa mali katika uislam yanaonesha ukilaza wa Mwamedi
 
Mnyalu Junior hivyo unavyodhani kuwa mahakama ya kadhi inahukumu kuua sio kweli.
Mfano mzuri ZWNZIBAR inayo mahakama ya kadhi. Lakini je ni lini umesikia mtu kahukumiwa kuuawa zaidi ya mirathi na mambo ya ndoa. Hili ni swali langu kwako, nitafutie jibu.

hamia Zenj
 
Hapa tunaongelea mahakama ya kadhi ya Tanzania ambayo haina haki ya kuhukumu makosa hayo.

Ukipitia hii nyuzi utaona kuwa mahakama ya kadhi Tanzania itakuwa limited kwa kesi zinazohusiana na Ndoa, Talaka, Mirathi, Wakfu.

Tubaki kwenye mahakama ya kadhi ya Tanzania na "huduma" zake.

Muongo mkubwa wewe, mtumbukize kichwa halafu later kiwiliwili chote! Ha ha haaaaa over my dead body
 
Basic mathematics principle becomes a headache to you. You do not "add" when you distribute, you subtract. Now go back and do your homework.

unawaza kizwazwaa umekosoa nini sasa, yuko sahihi according to Distributive Principle Of Maths
 
Dada faiza mi naomba kuuliza km mume alijiweka nyuma ktk utafutaji kila kitu anafanya mke mfano ktk ujenzi wa nyumba je mkiachana mume ana haki ktk nyumba hyo Wakati hakusaidia au awe amechangia asilimia 5/100
Nadhani Faiza na Aly Kombo wamefafanua mengi vizuri sana.
Ninavyo fahamu katika sharia za kislamu ni mume ndio ana jukumu la kukidhi mahitaji ya familia, mwanamke hata kama ana mali halazimshwi kuchangia ila kwa upendo wake ila mwanaume inamlazimu. Kisheria kila mmoja ana haki ya chake 100%
 
When I have US$ 100 and I give you 1/3 of it I remain with what?
Mimi naona mantiki ya hoja yako lakini nataka kuelewa zaidi. Hebu tusaidie, kugawa say $100,000,000 kwa kutumia utaratibu wa kiislamu katika kugawa mirathi. Let's say baba muislamu amefariki na kuacha mke mmoja, watoto wa kiume wawili, watoto wa kike wawili, na wazazi wake wote wawili.
 
Mimi naona mantiki ya hoja yako lakini nataka kuelewa zaidi. Hebu tusaidie, kugawa say $100,000,000 kwa kutumia utaratibu wa kiislamu katika kugawa mirathi. Let's say baba muislamu amefariki na kuacha mke mmoja, watoto wa kiume wawili, watoto wa kike wawili, na wazazi wake wote wawili.
Kama baba muislam amefariki na ameacha mke, watoto wawili wa kiume, watoto wawili wa kike na wazazi wake wote wawili mgawanyo ni kama ifuatavyo
$100,000,000
Baba atapata 1/6 ambayo katika $100,000,000 ni $16,666,666.666
Kwenye $100,000,000 inamaana tayari zimebaki $83,333,333.334
Mama anapata 1/6 ambayo katika $83,333,333.334 ni $13,888,888.889
Kwenye $83,333,333.334 tayari zimebaki $69,444,444.445
Watoto wa kiume wanapata 2/6 ambapo katika $69,444,444.445 ni sawa na $46,298,298.296
Inamaana kwenye $69,444,444.445 zimebaki $23,148,148.149

Kwa maana hiyo baba atapata $16,666,666.666
Mama atapata $13,888,888.889
Watoto wa kiume @ $23,148,148.149
Na watoto wa kike @ $11,574,074.0745.
Nimeeleweka??
 
Kama baba muislam amefariki na ameacha mke, watoto wawili wa kiume, watoto wawili wa kike na wazazi wake wote wawili mgawanyo ni kama ifuatavyo
$100,000,000
Baba atapata 1/6 ambayo katika $100,000,000 ni $16,666,666.666
Kwenye $100,000,000 inamaana tayari zimebaki $83,333,333.334
Mama anapata 1/6 ambayo katika $83,333,333.334 ni $13,888,888.889
Kwenye $83,333,333.334 tayari zimebaki $69,444,444.445
Watoto wa kiume wanapata 2/6 ambapo katika $69,444,444.445 ni sawa na $46,298,298.296
Inamaana kwenye $69,444,444.445 zimebaki $23,148,148.149

Kwa maana hiyo baba atapata $16,666,666.666
Mama atapata $13,888,888.889
Watoto wa kiume @ $23,148,148.149
Na watoto wa kike @ $11,574,074.0745.
Nimeeleweka??

Pitia na hii @ Nyakageni
 
usitusumbue Tanganyika, na soon tutaanza xenophobia kuwarudisha visiwani

Kwa taarifa yako mi nimechanganya Tarime na Zenji. Haya nirudishe, utanirudisha wapi??😀 Labda wewe urudi Msumbiji
 
Back
Top Bottom